aibu gani hiiiiii, hawa wazee wa tume ta uchaguzi mungu anawaona
Hii ni kuthibitisha kile kilichosemwa na Dk Slaa. Wizi wa mchana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aibu gani hiiiiii, hawa wazee wa tume ta uchaguzi mungu anawaona
Hiyo ndio TUME YA UCHAGUZI aka NEC, magwiji waliobobea kwenye kuhakiki:smile-big: na tujiulize kwanini mwenyekiti wake ni jaji??? tukishapata majibu HAPO NDIO TUJUE TUMEPEWA HAKI YETU YA MSINGI NA KATIBA:A S angry:Baba, ulitwaa matofali, ukanijenga imara,
Nalikuwa ni anjari, ukanipa nuru mara,
Ukanifunza maswali, tano na tano ashara,
Vipi tena leo baba, tano na tano aroba?
(from Zaka la Damu)
Probability of such a coincidence under the sun is zero.
Duh! Hadi aibu. Hivi kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kisheria kabla ya matoleo ya mwisho kutangazwa? Maana sheria inasema yakishatangazwa na tume hakuna mahakama yenye mamlaka ya kushughulikia pingamizi lake. CHADEMA wanapaswa kujitahidi kuweka hilo pingamizi sasa, la sivyo watakuwa wamechelewa na zoezi la ubakaji wa demokrasia litakamilika.
Mojawapo ya majimbo aliyoyataja Dr Slaa jana ni utofauti wa matokeo ya jimbo la Geita, katika pita pita yangu nimegundua matokeo ya Geita na jimbo la Nyang'hwale yanafanana kila kitu.
Je walipitwa au ni uzembe, kama ni kweli je kuna majimbo mangapi yenye dosari za namna hii au zingine???
Jionee mwenyewe kwenye hii spread sheet. Au unaweza kugonga hapa: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
![]()
![]()
![]()
au
![]()
Geita:
Kikwete: 30,960
Slaa:22,036
Lipumba:3,828
Kiravu ndo katoa hayo muda si mrefu; anasema walikosea wakasoma ya Nyang'wale.
Geita:
Kikwete: 30,960
Slaa:22,036
Lipumba:3,828
Kiravu ndo katoa hayo muda si mrefu; anasema walikosea wakasoma ya Nyang'wale.
Kiravu anakiri makosa sasa hivi kwenye tv
Kama atapata ugumu wa kuchagua jina napendekeza atumie hili ZERO BRAINKijana, kabla hujajiabisha zaidi, nakushauiri ubadili jina lako, angalau lifanane kidogo na wewe!