Elections 2010 NEC toeni maelezo ni kivipi matokeo ya Geita na Nyang'hwale yanafanana!

Elections 2010 NEC toeni maelezo ni kivipi matokeo ya Geita na Nyang'hwale yanafanana!

Slaa(PhD) huwa habahatishi

Imedhihirisha NEC wasivyo makini, unategemea nini kazi wamepewa kina Miraji wana copy&paste wamesahau hizi figure walisevu wakati wanafanya mazoezi ya kuiba kabla ya uchaguzi

Haya ni matokeo yaliyotangazwa na NEC

.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total

GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037

Computer generated figures, maskini yaani wanaiba bila hata aibu ooh no, bila hata kutumia akili......kweli kilaza ni kilaza tu! halafu watanzania bado tunawaacha mabwege waendelee kukalia ofisi zetu! Period!
 
Slaa(PhD) huwa habahatishi

Imedhihirisha NEC wasivyo makini, unategemea nini kazi wamepewa kina Miraji wana copy&paste wamesahau hizi figure walisevu wakati wanafanya mazoezi ya kuiba kabla ya uchaguzi

Haya ni matokeo yaliyotangazwa na NEC

.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total

GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037

NEC ni watu makini hawawezi fanya hivi. Hebu acheni kutuwekea mambo uzushi humu JF bana, km huna cha ku post kaaa kimya
 
Alafu ni wajinga, Wamatumia fake random generator, at least wangechagua distribution, labda kura huwa hazifuati distribution.
Yaani hata kimaesebu zinaonekana kura za kichina
 
Msiwe na haraka data zinaanza kuvuja taratibu mwisho tutapata kitu na box be patient hata EPA walikataa hivi hivi, nasikia Makame tumbo joto.
Mkuu Quinine, nimekupa thanks ya ku tick, nakupa asante nyingine ya maandishi. Narudia usemi ule wa 'mpaka kieleweke'. Kuchakachua matokeo ya kura ni kosa la jinai na kuwadanganya wote waliopiga kura. Wahalifu hao wote wnapaswa kuchukuliwa hatua zipasazo.
 
Slaa(PhD) huwa habahatishi

Imedhihirisha NEC wasivyo makini, unategemea nini kazi wamepewa kina Miraji wana copy&paste wamesahau hizi figure walisevu wakati wanafanya mazoezi ya kuiba kabla ya uchaguzi

Haya ni matokeo yaliyotangazwa na NEC

.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total

GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
Tembelea gazeti la mwananchi mtandaoni, Mwananchi Election Editions tafuta mkoa wa Mwanza, utakuta kilichotangazwa
Sasa sijui nani anatulisha kasa hapa
 
Slaa(PhD) huwa habahatishi

Imedhihirisha NEC wasivyo makini, unategemea nini kazi wamepewa kina Miraji wana copy&paste wamesahau hizi figure walisevu wakati wanafanya mazoezi ya kuiba kabla ya uchaguzi

Haya ni matokeo yaliyotangazwa na NEC


.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total

GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037


Source hapa

The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
 
NEC ni watu makini hawawezi fanya hivi. Hebu acheni kutuwekea mambo uzushi humu JF bana, km huna cha ku post kaaa kimya
Kijana, kabla hujajiabisha zaidi, nakushauiri ubadili jina lako, angalau lifanane kidogo na wewe!
 
Ni aibu sana kufanya mambo kama hizi ilhali wananchi tupo.tuingie kazini kieleweke fasta.Hakuna amani Tz ni kiini macho tu.hebu pita mitaa ya Tandale usiku uone utachofanyiwa.
 
Dingiswayo hebu badili jina fasta.Inaonyesha una tatizo ktk kichwa chako.hebu tubadilike jaman
 
On this i can't comment nikisema naambiwa eti chadema damu damu. Utasikia wanalipinga hili. Wanaccm fungueni macho acheni kutoona kwasababu ya kuwa brainwashed!
Photo Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
View Photo KIKWETE JAKAYA MRISHO
CCM
17,792 74.02
View Photo SLAA WILLIBROD PETER
CHADEMA
3,789 15.76
View Photo LIPUMBA IBRAHIM HARUNA
CUF
1,042 4.33
View Photo KUGA PETER MZIRAY
APPT - MAENDELEO
505 2.1
View Photo RUNGWE HASHIM SPUNDA
NCCR-MAGEUZI
51 0.21
View Photo DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA
UPDP
49 0.2
View Photo MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT
TLP
18 0.07

SPOILT VOTES 791 3.29
TOTALS 24,037 100

NYANG'HWALE
Photo Candidate
Political Party
Number of Votes
Percentage Votes
View Photo KIKWETE JAKAYA MRISHO
CCM
17,792 74.02
View Photo SLAA WILLIBROD PETER
CHADEMA
3,789 15.76
View Photo LIPUMBA IBRAHIM HARUNA
CUF
1,042 4.33
View Photo KUGA PETER MZIRAY
APPT - MAENDELEO
505 2.1
View Photo RUNGWE HASHIM SPUNDA
NCCR-MAGEUZI
51 0.21
View Photo DOVUTWA YAHMI NASSORO DOVUTWA
UPDP
49 0.2
View Photo MGAYWA MUTTAMWEGA BHATT
TLP
18 0.07

SPOILT VOTES 791 3.29
TOTALS 24,037 100
Haya asiyeweza kwenda huko nimemletea hapa. Au wanachadema ndo tumechakachua? ili waonekane wamekosea? Think about it and do the needful!
 
Back
Top Bottom