matokeo yote yakianza kupitiwa namna hii tunaweza kujikuta tunaingia matatizoni tu..
Mzee Mwanakijiji, hatuwezi kuingia katika matatizo yoyote kwa sababu hayo matatizo katika matokeo, sio matatizo ya kweli, it was a delibarate move, pre meditated ili kusaidia upande fulani.
Baada ya taarifa rasmi ya juzi kuwa Chadema haiyatambui matokeo, NEC hawalali usingizi, lazima wayatangaze madudu yao yate as 'orninary mistakes' kabla the dossier ya Dr. Slaa haijatoka.
Siku Kiravu anasoma barua ya malalamiko ya Dr. Slaa, alionyesha dharau na dhihaka na ndio maana NEC waliignore kuijibu mpaka leo, hata wakati Kiravu anaadmit walichanganya matokeo ya jimbo moja na jingine, his face was confortable as if nothing happenned, nilitegemea he would have looked sorry!.
Nadhani jamaa wa TISS waliwaruhusu NEC to do whataver they can do na maadam they didi it well, they are protected and safe, nothing will happen anymore, water cannon ziko distributed mikoa yote, there is nothing to worry, Watanzania ni watu wa amani, hawapendi vurugu, you can do them all sort of things na ukimaliza, ni watu wa kusema hewala bwana!.
Ninauhakika wa 100% kwa 100%, Jaji Makame na Kiravu wanastaafu soon, tena wanastaafu kwa heshima badala ya kwa aibu, hii ndio Tanzania yetu.