Elections 2010 NEC yabadili matokeo ya Vunjo yasema ilikosea

Na swali lingine la kujiuliza ..Je kwa marekebisho hayo, haiwezi kuathiri namba ya wabunge wa viti maalum? sababu namba yao inatokana na namba ya kura za Ubunge. Kutokana na marekebisho hayo CCM imepoteza zaidi ya kura 6,000 na CDM imeongeza zaidi ya kura 600 za ubunge..!
 
huwezi kuwadanganya watu wote wakati wote. NEC haikulijua hilo. nakumbuka NEC walisema tena kwa kujiamini kuwa KABLA HATUJATANGAZA MATOKEO TUME INAYAHAKIKI KWANZA japo haikutuambia how lakini ajabu hayo yaliyohakikiwa yamemzidishia mgombea wa CCM kura 6000. kwa nini wasiwajibishwe? kwa nn wasijiuzulu
 
mxuuuuuuuuuuuuuuuuu amtired of this nonsense
 
Hawa jamaa ni ZERO Plus! Nadhani Hesabu walikuwa wanaikacha wakizani ukiwa mwanasheria huhitaji hesabu.......

Hakuna jinsi ya KUKWEPA HESABU HAPA DUNIANI LABDA UFE, LAZIMA ITAKUUMBUWA SIKU MOJA. Sasa imewaumbua hawa wazee!

Hivi boss wa Nec lazima awe mwenye profession ya sheria, mbona havina uhusiano?

Hatutaki sasa tunataka Mtu mwenye proffesional ya numbers,statistics and computing to manage uchaguzi.
Mtu mwenye profession hii atasaidia kupush hata electronic voting na ku train watu kuwa na uwezo wa kutumia computa applications za uchaguzi!
Hawa wazee hata MS EXCEL ndo wameiona siku ya kuhesabu kura wakati ipo toka 1985 ungetegemea nini!
Hivi mkurungezi(KIDEVU) naye ana profession gani eti? Huwa namwona akiropokaropoka kama asiyekuwa na profession yoyote!
 
Mtanzania

NEC imesema kura halali kwa sasa baada ya marekebisho ni 53,914 hii ina maana baada ya kutoa zilizoharibika lakini ukijumlisha walizopata wagombea wote total ni 55,677 . Huwezi kutangazwa umeshinda kwa kura fulani halafu waseme hawajatoa zilizoharibika it is nonsense.

Kwa maana yako unataka kutuambia zilizoharibika ambazo siyo halali ziongezwe kwa mgombea yupi? does it make sense. Au kwa lugha nyingine the difference 55,677 - 53,914 = 1,763 ziongezwe wapi wakati wao wameshasema kura halali ni 53,914, ina maana hizo 1,763 walizopewa wagombea hazikuwa halali. Wasitake kutufanya hatujui hesabu.
 


Wanajamvi hii tume haifai hata kidogo kwanini isivunjwe iundwe tume huru ya uchaguzi ?.
 
Sasa kama ilikuwa hivi kwenye ubunge, upande wa urais hakukuwa na makosa?
 
Tunahitaji tume huru iundwe kuchunguza zoezi zima la kuhesabu kura. Tume wamepata wapi mamlaka ya kubadili matokeo waliyokwishatangaza? pengine tunahitaji wahasibu kuwepo ndani ya tume. simple arithmetics wanashindwa. huenda wote walipata F za basic mathematics
 
Kama kawaida tena natena! Tanzania uozo hautuishi jamani hii tume inakula pesa ya watanzania kwa kufanya uozo! tunaishi kwa ubahatishaji tu!:A S angry:
 
Kweli wao CCM wana pesa sisi Chadema tuna Mungu..

Naona ameshaanza kujichanganya bado ya JK pia watakuwa walikosea pia...
 

Mkuu na wewe umepata Phd juzi juzi, au ni kama ya mkuu wa kaya....:smile-big:
 
Mie nadhani tusiende mbali sana kwenye uhuru wa tume. Kwanza tupate watu makini wa kusimamia ukweli. Iwekwe tume ya wasema kweli hata bila uhuru, wengi duniani hawapo huru lakini wanasimamia ukweli. Watu wanaoweza kujumlisha na kutoa waunganishwe kwenye hao wakweli. Tukimaliza hapo twende kupigania uhuru kamili wa tume. "Incremental approach"
 
:A S-smoking: walivuta kubwa:A S-devil1:wakawa hivyo:director:wakatangaza hivi:israel:akashinda huyo:sorry:wakaomba:sleep:tulikuwa tume:director:tumetangaza upya kashinda aliyekuwa:lock1:sasa ivi utna:gossip:aaaah pumbavu huu si ujinga:doh:...........naomba kwa anayeweza kuanzisha mada ya kura za wazi waliomuunga mkono,DOKITA JK na waliomuunga mkono DOCTOR W S.
 
Kutengua matokeo maana yake nini, hadi aliyekuwa wa kwanza awe wa pili nafikiri hapana, kubadilisha maksi au kura za mtu kutoka A kwenda B ni kutengua hata kama ataendelea kushikilia nafasi ile ile. Hapa tunaona kama hawajatengua kwa vile kura zilizotenguliwa hazikubadili position ya mtu lakini kisheria wametengua matokeo .
 

Luteni,

Nilikuwa sijajumlisha hizo kura, lakini kama namba walizopata wagombea ni sahihi basi taarifa nzima ina makosa.

Nakubaliana na wewe kura walizopata wagombea haziwezi kuwa nyingi kuliko kura halali.

Vyombo vyetu vingi haviko makini kabisa kwenye namba na ndio maana hata mikataba inatuletea matatizo.

Inaelekea hili tatizo la kila sehemu, kuanzia NEC, bungeni, vyama vya siasa nk. Ndio maana wajanja wanatumia hizo weaknesses kuchakachua.
 

source please
 
The first move ni kwa Chadema kutangaza maandamano makubwa kudemand Tume ijiuzulu, na lawyers wake wawasilishe kesi rasmi kama sio Court kuu pekee bali ICC kwa njama na kuharibu uchaguzi na demokrasia na kutishia amani na usalama wa watanzania wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…