The suspender
Senior Member
- Sep 1, 2020
- 128
- 138
Hakika wapinzani wamekua kama vile sio wataalamu wa mambo ya siasa hawana hoja zaidi ya kelele, Matusi na kuzusha hoja Mpeche mpeche zisizo na Mashiko kwenye Masikio ya Watanzania.Aibu kubwa kwa Chadema na bwege kama tindo kushabikia upuuzi
We kenge huwa unajifanya unajua sana,kumbe unashabikia upuuzi.Nasema hivi umekosea basha leo.
We kenge huwa unajifanya unajua sana,kumbe unashabikia upuuzi.
Jazba unazo wewe kenge unaeleta matusi.Naweza kukuona ulivyopanic. Kipi kimebadilika zaidi ya ww kuja na jazba?
Nimeshajibu hoja yakoMbona Lissu alipiga kinyaturu hamkusema?
Chama cha mapunguani utakiweza.Nimeelewa lengo la CHADEMA
Wapi umejibu we falaNimeshajibu hoja yako
Hebu kuwa mstaarabuWapi umejibu we fala
Mbona unaongea kirivasirivasiChama cha Mbowe, lengo lake ni kufitinisha watanzania na serikali yao. Hiyo taharuki wanayoipanda kwa watanzania itawatafuna wao kwanza.
Mbona hamna msimamo? Mara Jamana printers hawafai,mara zisitoke nje.Kwann zisiprinitiwe nje, isije kuwa za kufutika futika baada ya kutik
Kwahiyo mlitaka wakubali?Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Kura ni Jambo la maisha yako haitakiwi kuwepo hata na rumorsMbona hamna msimamo? Mara Jamana printers hawafai,mara zisitoke nje.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
kwenye hili hujui kitu , jiulize kisa cha kusubiri wiki nzima kujibu tuhuma hiiMshana Jr uzi wako wa Jamana Printers unasimama wapi. Tukiweka siasa pembeni na kutazama kisomi umeelezewa taratibu zilivyofanyika sasa ndo sijui ni za ukweli au za magumashi ila suala la Jamana uliingia mkenge. Taarifa zenye ushahidi kama hizi ukianzisha uzi ilimradi unakamatika, hii ni tofauti na uchawi ambao hatuwezi prove ukweli au uongo.
Wewe unayejua twambie kuna uhusiano gani kati ya Jamana na hii tenda.kwenye hili hujui kitu , jiulize kisa cha kusubiri wiki nzima kujibu tuhuma hii