NEC yafafanua Upotoshaji kuhusu Karatasi za kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

NEC yafafanua Upotoshaji kuhusu Karatasi za kupiga kura Uchaguzi Mkuu 2020

Chama cha Mbowe, lengo lake ni kufitinisha watanzania na serikali yao. Hiyo taharuki wanayoipanda kwa watanzania itawatafuna wao kwanza.
 
Nimejikuta nacheka mwenyewe, wamekoselewa wakapagawa mpaka wanajibu hovyo.
 
ZEC nao wafafanue kuhusu kura za mapema za wafanyakazi Zanzibar. Mawakala wataruhusiwa kulala na maboksi ya kura na zitahesabiwa tofauti na kura nyingine?
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dk. Willson Mahera Charles ametoa ufafanuzi juu ya upotoshwaji uliofanywa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika kuhusiana na mchakato wa Manunuzi wa Karatasi za kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.

 
Mshana Jr uzi wako wa Jamana Printers unasimama wapi. Tukiweka siasa pembeni na kutazama kisomi umeelezewa taratibu zilivyofanyika sasa ndo sijui ni za ukweli au za magumashi ila suala la Jamana uliingia mkenge. Taarifa zenye ushahidi kama hizi ukianzisha uzi ilimradi unakamatika, hii ni tofauti na uchawi ambao hatuwezi prove ukweli au uongo.
kwenye hili hujui kitu , jiulize kisa cha kusubiri wiki nzima kujibu tuhuma hii
 
Bado sijakubaliana na huo utetetezi wa Nec inakuwaje vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi vipelekewe barua na kusiwe na chama kilichowasilisha wawakilishi wao na wao wasifanye forapu yakujua nini tatizo waanze vikao wenyewe hapo tatizo lipo Nec kwanini waone kufanya vikao wenyewe ni sawa tu bila wadau? Hao wameshachemsha tena Kuna mengi yakifatiliwa inaonyesha wanajifanyia tu bila kufata taratibu.
 
Back
Top Bottom