NEC yajipanga uchaguzi ujao kuaminiwa dunia nzima

Wewe jambazi mahera toka li
ni kibaka kama wewe akaaminika.?
 
Mahera anamuigizia nani?Yeye ameshiriki dhambi ya kuengua wapinzani na kuwapitisha CCM bila kupingwa halafu anasema Nini!Shwain kabisa!
 
Sitachangia uzi huu kwa kuogopa BAN
 
Sioni tena watanzania wanaojitambua kujitokeza kushiriki kupiga kura kwa mazingira haya. Labda yatokee machafuko, au katiba mpya na tume huru ya uchaguzi iwepo. Kinyume na hapo wapiga kura watazidi kuwa wachache kupita maelezo.
 
Dunia nzima wakati local tu hawaaminiki ?
 

Bila tume huru mpya wapinzani wa ukweli hawatashiriki kabisa
 
Mahera hana sifa tena ya kuwa ndani ya tume. Haiwezekani mtu usaidie uharibifu wa uchaguzi kwa kisingizio cha Magufuri,dhambi ni dhambi tu. Ifike mahala mtu uwe na aibu.
 
Nilitamani nitukane hapa Kila Mtu aone tusi langu ila nimeghairi,

Huyu mahera si ndio alikua CHAWA wa mwendakuzimu jiwe na ni kada wa chama chakavu Cha kijani,
Eboooo Leo anasemaje?

Punguani kabisa Hilo jamaa Kwa ule uchafuzi waliofanya nitakuja nisimulie mpaka wajukuu kama sio ana Kwa ana nitaacha maandishi baadae hapo kile kioja Cha uchaguzi kitengenezewe commedy show wanangu wapige Hela
😁😁😁😁
 
Rubbish kutoka kwa shetani
 
Kuna mazingira ya kuwa na tume yenye kuaminika lkn sio haya ya TANZANIA.Mahera asifikiri sisi ni watoto.
 
Kama mahera ana Ubavu amshauri Raisi wake watengeneze tume huru na kila Mtanzania aone pasipo shaka alafu ndio aje kutuambia hayo anayotuambia.
 
Hawezi kuaminika kamwe.Na angekuwa na maono ya mbali,angeshajiuzuru zamani.Halafu hivi huyu jamaa anaamini wa Tanzania ni wajinga kiasi hicho?
 
Kwa tume ipi uchaguzi uwe huru.hii ya mahera kweli,mbona 2020 haukuwa huru au hajui Hilo,mwambie asitufanye wajinga,Ni vile tunamheshimu
 
Uchaguzi wa kuaminiwa?! Kuna kitu ambacho anakijua hakikuwa sawa kwa chaguzi zilizopita?! Maneno yake yanafikirisha
 
Wapumbavu hao na huyo Mwenyekiti ni mbwa kabisa.
 
Tume iwe huru wakati huu Nape mzee wa goli la mkono yupo karibu kabisa na mama kumsaidia kazi!
 
Huyu hakupaswa awe amekalia hicho kiti. Ni basi Tu nchi yetu haina utamaduni WA kuwajibika.
 
Sasa hamtaki uchaguzi mzuri zaidi mbeleni! Mnataka uchaguzi uwe vipi sasa maana yeye kasema anataka kuwe na uchaguzi wenye kuaminika hebu tuwape muda Nec wafanye kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…