Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bado siku 13 uanze kualalamika umeibiwa. Hizi id zenu tumezikalili. Tuombe uzimaMagufuli bye bye rudi chato ukachunge mbuzi.
TUMECHOKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Bado siku 13 uanze kualalamika umeibiwa. Hizi id zenu tumezikalili. Tuombe uzimaMagufuli bye bye rudi chato ukachunge mbuzi.
TUMECHOKA
Kuna yule mbaguzi, katili, sura mbaya, roho mbaya na jeuriYule mgombea mzushi, mpotoshaji, mwenye kiburi na kufanya kusudi, aliyeahidi kuingiza wananchi barabarani, kutoka kwenye kile chama kisicho na ofisi ya kujenga wao wenyewe akijidhihirishia yupo kwenye karatasi ya kura basi nchi ijiandee kwa vituko vyake
Kuna mafuriko zaidi ga haya? Nioneshe yametokea wapi?Ajabu sana mwaka huu, sasa itakuwaje mtu akinyolewa na wembe bila sabuni kwenye kisaduku, maana upepo huu siusomi mafuriko kila mtaaa
Wameelekea kuufyata chezea pesa za mabeberu wewe
Mbona hukuingia forest huyo mgombea wako alivyofungiwa kufanya kampeni. Yaani vijinaume.vya Chadema vina mikwara mbuzziWe just only want smooth transition of power from Magufuli to Braza Lissu after the election. No blah blah after that or else we will enter into the forest to restore back our sovereignty.
Wee subiri tu mrembo tuchukue nchi utanizalia mapacha kwa nguvuMbona hukuingia forest huyo mgombea wako alivyofungiwa kufanya kampeni. Yaani vijinaume.vya Chadema vina mikwara mbuzzi
Magu ndio atapata 10% wazee wote wamekufa wamebaki 3%[emoji23] [emoji23] [emoji23] Bai bai unafikiri inakuwa kama unavyomuaga dadako siku ya sendoff yake?
Subiri lisu atakapopata 20% ndio utakapo jua huyo mtu wenu ni kopo tupu
Niwe na shida kichwani nisiwe na shida mtesi wa Tanzania lazima atuachie nchi. Dhulma aliyotufanyia Kimara hatutasahauMkuu nahisi wewe una shida kichwani basi subiri 20/10
Sema "Nina Imani" siyo "Tuna imani" ni wewe unaeiwakilisha nafsi yako siyo wotePongezi nyingi kwa tume,
Tunaimani kuwa mpo katika kusimamia haki na kazi zenu nzuri ndio zitakazotuletea viongozi bora wa Taifa letu.
Mungu atubariki sote tuwe na uchaguzi wa amani na wenye tija kwa Taifa letu.
Acha ujinga wewe kenge wa kijani, kuboresha daftari maana yake ni kwenda kuhakiki kama jina lipo au la, toa kamasi kwenye kichwa chako haraka kabla hujaanza kuokota visoda!Kwa akili yako unaamini Lisu ana kura za kumtingisha Magu?
Hilo daftari lenyewe limejaa wana ccm tupu maana nyie mlihamasishana msiende kuboresha taarifa zenu
Chato pia hawampendiMagufuli bye bye rudi chato ukachunge mbuzi.
TUMECHOKA
Huyu msamehe bure ni mgonjwaAcha ujinga wewe kenge wa kijani, kuboresha daftari maana yake ni kwenda kuhakiki kama jina lipo au la, toa kamasi kwenye kichwa chako haraka kabla hujaanza kuokota visoda!
Oneni haka kajinga jamani!Acha ujinga wewe kenge wa kijani, kuboresha daftari maana yake ni kwenda kuhakiki kama jina lipo au la, toa kamasi kwenye kichwa chako haraka kabla hujaanza kuokota visoda!
Wapiga kura waliojaa humo ni wana ccm maana nyie mlifikia hatua ya kumtukana Mbowe aliposema nendeni mkaboreshe taarifa zenu kwenye hilo daftari.Hili daftari watakao soma kwa makini ni Chadema na ACT, wengine watapewa na kufungia kabatini
Mimi nashindwa kuelewa huu ujinga uliowajaa chadema kwamba mshindi halali anapaswa kuwa Lisu,Waendelee hivyo hivyo na kwenye upigaji kura waziheshimu kura za wananchi na kutoa matokeo sahihi, aliyeshinda kwa haki atangazwe na si vinginevyo. Watambue dhamana waliyonayo kwa amani ya nchi hii ni kubwa sana.
Unaelewa ulichoandika?Wapiga kura waliojaa humo ni wana ccm maana nyie mlifikia hatua ya kumtukana Mbowe aliposema nendeni mkaboreshe taarifa zenu kwenye hilo daftari.