Uchaguzi 2020 NEC yapitia na kuchambua Rufaa 67 za Wagombea Ubunge na Udiwani

Uchaguzi 2020 NEC yapitia na kuchambua Rufaa 67 za Wagombea Ubunge na Udiwani

Hili bandiko lingedadavua kiundani unazungumzia nini, kilitokea nini, juu ya mdada gani sjui hana jina watu hawaelewi, umeandika kama unasimliana na wenzio waliokuwa kwenye tukio......sio wote wako upande wa abood ila maelezo ndo hayaeleweki kiviiile
 
warudishwe wote. Hii nchi kila mmoja atakuja juta
Sawa kabisa. Wanaogopa nini? CCM wana mtaji mkubwa wa ushindi ikiwemo tume yenyewe, vyombo vya usalama, na mahakama. Mtaji pekee wa wapinzani ni wagombea wao, nguvu zao, na wapiga kura wanaowaunga mkono.
 
Back
Top Bottom