Mpambalyoto
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 752
- 3
Any move to remove or bar the move is a movement for change...kama kawaida watabana saaaaaaaaaana, halafu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Marandu hawezi kufanya kampeni ya Chama chake badala ya mgombea ubunge, mi nadhani haina haja ya kupoteza muda, angefanya kampeni ya kuwanadi madiwani, huku akimnadi Shibuda not in straigh forward way, hii itaamsha hamasa kwa wapiga kura.
Acha hasira kaka, ni kweli nimeongea na jamaa yangu yupo Maswa ni kweli kuanzia leo amesimamishwa kampeni mpaka siku ya uchaguzi, meaning hakuna kampeni bali watapiga kura tu,...inauma!