So wewe ndiye mwenye uwezo wa kujadilihizi ni dalili za kufilisika akili kijana ukiona mda ipo nje ya owezo wako achana nayo wenye uwezo wajadili nenda kafuatilie mambo yaliyo ndani ya uwezo wako
Wangeonekana Wazalendo na wapo serious, kama wangejiudhuru na kisha watoe wito wa kuunda Tume huru yenye meno zaidi. Waache porojo hapa.Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage, Agosti 21 akiwasilisha ripoti ya Uchaguzi Mkuu 2020 kwa Rais Samia alitoa mapendekezo saba ya kufanyiwa kazi, likiwemo la kuanzishwa kwa Sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo itawapa meno zaidi...
As long wanategemea watumishi kutoka mamlaka nyingine na pia hawana bajeti yao rasmi mpaka waombe basi wamebanwa na hawapo huru!B
Binafsi sina ugomvi na tafsiri yako juu ya mapendekezo ya Jaji Kaijage wa NEC kwani kila mtu anayo haki ya kutafsiri kitu kadri alivyo elewa na kufuatana na mawazo, mapenzi, matakwa na ushabiki wake kwenye hoja au suala husika.
Hivyo nami nasema kuwa Jaji Kaijage anataka NEC iwe "huru" kwa kupitia kutungiwa Sheria yao ILI waweze kufanya mambo yao ya usimamizi wa NEC na kazi zake zote BILA kutegemea wafanyakazi wa Serikali au kusubiri mgao wa fedha in a form of RUZUKU.
Jaji Kaijage anataka awe na afanye kazi kama "AGENCY", ili apate mgao wa fedha moja kwa moja kwenye bajeti yao na NEC iwe na bajeti yake inayo eleweka, siyo kusubiri kupewa pesa kutoka Hazina kwa ajili ya uendeshaji wa NEC na iwe na wafanyakazi watakao wajibika moja kwa moja kwa NEC na siyo kwa mamlaka na madaraka nyingine ya ajira.
Hii ndiyo tafsiri yangu siyo kuwa eti "wanabanwa" na Serikali katika kufanya maamuzi yao eti kwa vile hawana Sheria yao wenyewe. This is my take.
Mpumbavu kumbe una akili za kuendea chooni tu!Wewe ulitaka liwe tawi la CHADEMA!? Kwa hilo utasubiri sana kwani uwezekano wa hii NGO ya Mbowe kuunda Serikali nchini mwetu HAUPO KABISA!
Twende kwa HOJA siyo VIOJA NA VIHOJA Babati, vinginevyo bwaga manyaga kistaarabu!Sawa Bashite
Lete HOJA usiwe kama TOBO, akikosa hoja analeta matusi, na nyie wafuasi wake jifunzeni kuwa wastaarabu ili kuipa hadhi JF jamani! Halafu hajui tofauti ya NGO na SACCOS, basi nimefahamu leo kumbe siyo NGO ni SACCOS! Asante sana kwa elimu hii.Mshenzi mwili mzima, saccos ni mamako
ILEJE, huo ni utaratibu tu wa utendaji, wanaweza kupewa kila kitu na kutenda kama sheria, taratibu na kanuni zinavyo elekeza. Ikiwa hivyo na mtu akipigwa kwenye BALLOT BOX bado atalalama tu. Kwani kila mtu huwa anakuja na matokeo yake, which is not right kwenye suala la ushindani!As long wanategemea watumishi kutoka mamlaka nyingine na pia hawana bajeti yao rasmi mpaka waombe basi wamebanwa na hawapo huru!
Hatari snTwende kwa HOJA siyo VIOJA NA VIHOJA Babati, vinginevyo bwaga manyaga kistaarabu!
Watuletee katiba mpya,ndani yake tutaipata tume huru ta uchaguzi.Hili ni tawi kuu la CCM hakuna jipya
Acha kukariri! Kama tume ni huru na ikafanya kazi kwa mujibu wa sheria na kwa uwazi, watu watakubali matokeo.ILEJE, huo ni utaratibu tu wa utendaji, wanaweza kupewa kila kitu na kutenda kama sheria, taratibu na kanuni zinavyo elekeza. Ikiwa hivyo na mtu akipigwa kwenye BALLOT BOX bado atalalama tu. Kwani kila mtu huwa anakuja na matokeo yake, which is not right kwenye suala la ushindani!
Wanataka kutulaghaiHiyo ni BADO ni TumeCCM. Kwani wanateuliwaje? Na nani? Waache porojo, Katiba Mpya ndio tiba.
Wakisema ndio unitagWatuletee katina mpya,ndani take turaipata tume huru ta uchaguzi.
Kwani nani alikataa matokeo?! Wote walikubali matokeo ki - aina aina - wengine kwa kukimbia nchi, wengine kwa kujiingiza kwenye jinai za kigaidi, wengine kukubali yaishe na ku - join the band wagon na wengine kwa kuufyata tu na kukubali YAISHE! Kila mmoja ana njia yake ya kukubali matokeo, ACHA KUKARIRI Ileje!Acha kukariri! Kama tume ni huru na ikafanya kazi kwa mujibu wa sheria na kwa uwazi, watu watakubali matokeo.