Uchaguzi 2020 NEC yataka wagombea wasiwe na matokeo mfukoni

Hii idadi ya wapiga kura ni ya kupika, na ndio maana NEC hawataki watu walinde kura, na sasa kuruhusu matumizi ya passport, driving license nk kupigia Kura. Hii ya yote ni kuhakikisha yanapatikana matokeo waliyoyapanga.
Sio kila kitu unapinga tu kisa upo Chadema. Daftali la kudumu kila chama kimekabidhiwa hiyo idadi ya kupika inatoka wapi?

Unataka wananchi walinde kura kwa sheria ipi?

Driving licence na Passport zitatumika kama mtu amaepoteza kadi ya kupigia kula. Na majina lazima yafanane.

Alafu mmefanya fitina mmechongea Pascal Mayalla amepigwa ban
Kwani ushindi upo Jf?
 
Misungwi tuuu kuna vituo 'hewa' 79, Pemba jumla ya vituo hewa 94, shinyanga mjini vituo hewa 122, tukisema hii tume ya huyo mpumbavu inataka kuleta vita vya wenyewe kwa wenyewe ma CCM yanalalama eti kuna watu wanataka kuleta vurugu…………...pambafuu zao!
 
Nec tunajua nyie ndio waharibifu wakubwa wa uchaguzi kwani tayari mna matokeo ktk mabegi yenu! Acheni uchoro!
 
Acha uongo 2015 wapiga kura waliojiandikisha walikuwa milioni 24 sio milioni 20 .Ongezeko ni milioni 5 sasa hivi

Takwimu zako wewe ndio za uongo
 
Kwanza hata idadi ya wapiga kura wanaotangazwa na nec sio kweli, idadi imepikwa ili kuwepo na kura za kughushi kwani hii ndio kawaida ya Nec-ccm.
 
Hawa nao Washa kua waimba taarabu soon watatoa album
 
NEC ni wapumbavu sana,kwa mfano huko Tanga jimbo moja wamewaengua wagombea udiwani wa upinzani 16 kati ya 21 kwa sababu za kijinga kabisa...hapo huyo Mahera alikuwa anaongea upumbavu gani sijui
 
NEC ni wapumbavu sana,kwa mfano huko Tanga jimbo moja wamewaengua wagombea udiwani wa upinzani 16 kati ya 21 kwa sababu za kijinga kabisa...hapo huyo Mahera alikuwa anaongea upumbavu gani sijui
Ndiyo maana ni mweusi km mkaa
 
We punguwani kweli yani mtu unamuona barabarani anaomba kura bado unasema ana tegemea kubebwa jinga sana.
Unaelewa kuwa mtu kuwa barabarani kwa ajili ya kuomba kura siyo kigezo cha kuthibitisha kuwa hategemei kubebwa?Unaelewa kuwa mtu ambae anategemea kubebwa anapaswa kuwa barabarani ili kuzuga wananchi kuwa na yeye yumo kwenye kinyang'anyiro?
 

Kukabidhiwa daftari ni jambo moja, ila kuhakiki inachukua muda. Vuta subira kwenye hili. Wananchi wanalinda kura baada ya kuona uhuni wa wazi kwenye chaguzi zetu. Watunga sheria hawawezi kutunga sheria ya kulinda kura, maana wao ni wafaidika wa huo wizi wa kura.

Tume hii imekataa mambo na mapendekezo mengi ya kupiga kura, lazima tuwe na shaka na huu wema wa dakika za mwisho. Ikumbukwe watu waliboresha taarifa mpaka mwezi wa tano, hivyo waliopoteza kadi walikuwa na muda wa kupata nyingine.

Tumchongee Paskali kwa lipi, kwanza ww ndio unaniambia kapigwa ban wala mimi sijui.
 
Tumeccm NECCCM sasa ni makada wa CCM nao wapo kwenye kampeni za CCM, hivi hawaoni kule Same magufuli katoa Rushwa live kwa kutoa pesa kutekeleza miradi, Tumeccm NECCCM sasa si tume ya uchaguzi bali na wao wanaipigia debe CCM
 
Mnafiki mkubwa weee. Unajifanya hujui kapigwa ban? Mashambulizi ya wanaCcm yamewazidia msaada mkubwa kwenu ni ban.
Kama daftali la wapiga kura mmekabidhiwa wasiwasi wa nini?

Wananchi walinde kura kinyume na sheria za nchi? Acha siasa za kihuni.
 
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
 
Tumeccm NECCCM sasa ni makada wa CCM nao wapo kwenye kampeni za CCM, hivi hawaoni kule Same magufuli katoa Rushwa live kwa kutoa pesa kutekeleza miradi, Tumeccm NECCCM sasa si tume ya uchaguzi bali na wao wanaipigia debe CCM
Magufuli anatekeleza majukumu kama rais wa JMT anatoa pesa kutekeleza miradi kama mkuu wa nchi tumia akili we Minyoo.
 
Mnafiki mkubwa weee. Unajifanya hujui kapigwa ban? Mashambulizi ya wanaCcm yamewazidia msaada mkubwa kwenu ni ban.
Kama daftali la wapiga kura mmekabidhiwa wasiwasi wa nini?

Wananchi walinde kura kinyume na sheria za nchi? Acha siasa za kihuni.
Sheria inaruhusu kulinda kura ukiwa mita kadhaa , Lakini Tumeccm NECCCM kwa njia haramu za kishetani walizokariri toka CCM yao wanazua watu kulinda kura zao zisiibiwe na CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…