NEC yatoa ratiba ya Uchaguzi mdogo katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe

NEC yatoa ratiba ya Uchaguzi mdogo katika majimbo ya Muhambwe na Buhigwe

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Tume ya Uchaguzi (NEC) imesema Uteuzi wa Wagombea Ubunge wa Buhigwe utafanyika Aprili 30. Jimbo hilo limekuwa wazi baada ya aliyekuwa Mbunge wake kuteuliwa kuwa Makamu wa Rais.

Kwa mujibu wa ratiba ya NEC, Kampeni za Buhigwe na Muhambwe ambapo pia pako wazi baada ya kifo aliyekuwa Mbunge wake zitaanza Mei 01-15 na Uchaguzi utakuwa Mei 16, 2021.

1618230568785.png
 
Tume imeweka wazi ratiba ya Uchaguzi majimbo ya Muhambwe na Buhigwe mkoani Kigoma.

Binafsi na wapongeza ACT Wazalendo na vyama vyote vilivyo onesha ukomavu wa kisiasa kwa kusimamisha Wagombea wao kuwania nafasi hizo za uwakilishi Bungeni.

Lakini pia Chaguzi za Madiwani kwa Kata 18 nazo zimetangaza nafasi hizo. Ni kazi ya vyama vya Siasa nchini kuziba nafasi hizo kwa kusimamisha Wagombea wenye sifa na watakao Leta Upinzani wa kweli katika Siasa na kuleta maendeleo kwa wapigakura.
IMG-20210412-WA0035.jpg
 
Wasusaji na Waendelee mpaka Bwana Yesu atakaporudi.....! Ukisusa wenzio twala...
 
Historia ya kipigo kwa upinzani wakati wa uchaguzi si ya kufutwa wa kufutika siku za usoni
 
Kushiriki Uchaguzi chini ya tume Hii hii ya Dkt. Mahera simply vyama vya upinzani ni kama vinapoteza wakati. Nothing has changed concerning the structure of the electoral commission. Tutegemee matokeo yaleyale tuliyoyazoea!
 
Tume imeweka wazi ratiba ya Uchaguzi majimbo ya Muhambwe na Buhigwe mkoani Kigoma.

Binafsi na wapongeza ACT Wazalendo na vyama vyote vilivyo onesha ukomavu wa kisiasa kwa kusimamisha Wagombea wao kuwania nafasi hizo za uwakilishi Bungeni.

Lakini pia Chaguzi za Madiwani kwa Kata 18 nazo zimetangaza nafasi hizo. Ni kazi ya vyama vya Siasa nchini kuziba nafasi hizo kwa kusimamisha Wagombea wenye sifa na watakao Leta Upinzani wa kweli katika Siasa na kuleta maendeleo kwa wapigakura.View attachment 1750261
Sema unajipongeza mwenyewe maana wewe ni mwana ACT
 
Kushiriki Uchaguzi chini ya tume Hii hii ya Dkt. Mahera simply vyama vya upinzani ni kama vinapoteza wakati. Nothing has changed concerning the structure of the electoral commission. Tutegemee matokeo yaleyale tuliyoyazoea!
ACT&Company woote ni washitika wa ccm
 
Back
Top Bottom