NEC yaweka masharti matumizi ya simu vituoni Oktoba 28

NEC yaweka masharti matumizi ya simu vituoni Oktoba 28

Mwaka huu tutaelewana tu hakuna kutoka vituoni mpaka matokeo yatangazwe nimetoka kuhakiki jina langu na la mke wangu na ndugu zangu kibao kura zote kwa Lissu

Tupo tayari kufia vituoni mwaka huu kuliko kuendelea kuishi chini ya ushenzi wa Magufuli.
 
Hata Malawi simu janja iliwaponza sana ndio maana uchaguzi ukarudiwa.Vyama vya upinzani nawashauri wanunue vyombo vya kurekodi na kupiga picha kama kalamu, saa, miwani nk vitawasaidia mbeleni.
Hadi viatu vipo, saa na vitu vingine
 
Naona NEX wameanza mbinu chafu mapema, siji wanaogopa nini
Ata kivuli chao watakuja kuki ogopa
Wame juwa matokeo we utangaze ajira 13,000 za walimu waombaji wajitokeze zaidi 80,000 unahisi hizo kura za 67,000+ zita kwenda wapi!? CCM Ipo hoi ni polisi tu wana wapa oxygen vinginevyo wasinge kuwepo!
 
[emoji34][emoji34][emoji34]mbona sioni Sasa hayo naona maelezo tuu na ujinga ujinga tuu
Mkuu sidhani kama mtu mjinga anaweza ona kitu cha kiuelevu ,lazima uelevu auone ni ujinga na ujinga auone ni uelevu.
 
Hiyo kuzuia simu lengo lake ni kuhakikisha hujuma zote zitakazofanyika kituoni hazifahamiki. Nawashauri watu wawe na silaha za jadi za kutosha kuzunguka vituo vya kura. Wakala wa upinzani akiona hujuma wakati wa upigaji, uhesabuji na kutangaza matokeo apige kelele ya mwizi mwizi. Hapo wananchi wenye hasira kali wavamie na kutoa kipigo kikali.
wazo
 
Mwenye kale kavideo Magu akizomewa Bukoba naomba,ukute hyo clip ishatekwa🤣🤣🤣🤣🤣
 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Mambo hayo yasiyotakiwa ni;

Mosi; mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo.

Pili; viongozi wa vyama vya siasa, wagombea au wafuasi wao kufanya vitendo vinavyoweza kusababisha fujo, vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabu na kujumlishia kura.

Tatu; vyama vya siasa, wagombea na wafuasi wao katika siku ya kupiga kura kufanya kampeni ya aina yoyote ikiwa ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura mgombea Fulani.

Hii ni pamoja na matumizi ya vyombo vya usafiri vilivyokuwa vinatumika wakati wa kampeni vinavyoashiria utambuzi wa chama Fulani.

Nne, kiongozi, mgombea au mtendaji yeyote wa chama cha siasa kutoa lugha ya matusi kwa mtendaji wa uchaguzi.

Endapo kuna changamoto au lalamiko lolote kuhusiana na mchakato au taratibu za uchaguzi katika kituo cha kupigia kura, changamoto hizo zitawasilishwa kwa maandishi kwa msimamizi wa kituo kupitia kwa wakala.

Tano; kiongozi au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura.

Sita; kiongozi, mgombea au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kujihusisha na vitendo vifuatuvyo:

I. Kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja
II. Kununua kadi ya mpiga kura, kununua kura au kutoa hongo, zawadi, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au mtendaji wa uchaguzi.
Wasije wakasema tuingie bira nguo kupiga kura maana sio hofu hiyo.
 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Mambo hayo yasiyotakiwa ni;

Mosi; mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo.

Pili; viongozi wa vyama vya siasa, wagombea au wafuasi wao kufanya vitendo vinavyoweza kusababisha fujo, vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabu na kujumlishia kura.

Tatu; vyama vya siasa, wagombea na wafuasi wao katika siku ya kupiga kura kufanya kampeni ya aina yoyote ikiwa ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura mgombea Fulani.

Hii ni pamoja na matumizi ya vyombo vya usafiri vilivyokuwa vinatumika wakati wa kampeni vinavyoashiria utambuzi wa chama Fulani.

Nne, kiongozi, mgombea au mtendaji yeyote wa chama cha siasa kutoa lugha ya matusi kwa mtendaji wa uchaguzi.

Endapo kuna changamoto au lalamiko lolote kuhusiana na mchakato au taratibu za uchaguzi katika kituo cha kupigia kura, changamoto hizo zitawasilishwa kwa maandishi kwa msimamizi wa kituo kupitia kwa wakala.

Tano; kiongozi au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura.

Sita; kiongozi, mgombea au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kujihusisha na vitendo vifuatuvyo:

I. Kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja
II. Kununua kadi ya mpiga kura, kununua kura au kutoa hongo, zawadi, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au mtendaji wa uchaguzi.
Sharti la kwanza linatoa mwanya wa wizi wa kura. Hiki ni kikwazo kwa wapinzani kushinda.
 
Kwani NEC ina wasi wasi gani kuhusu matumizi ya Simu janja katika vituo vya kupigia kura?

Naona hawataki mawakala wa vyama wapeane taarifa za matokeo ya kura mapema ili wanajue kinacho endelea - hicho ndio nakiona mimi, maelezo mengine ni ya kupoteza lengo tu - the crux of the matter here is to muzzle smartphone communication in real time.
 
Kwani NEC ina wasi wasi gani kuhusu matumizi ya Simu janja katika vituo vya kupigia kura?

Naona hawataki mawakala wa vyama wapeane taarifa za matokeo ya kura mapema ili wanajue kinacho endelea - hicho ndio nakiona mimi, maelezo mengine ni ya kupoteza lengo tu - the crux of the matter here is to muzzle smartphone communication in real time.
Kuna utaratibu wa kutumia sio kukatazwa wanatakiwa waweke kwenye mtetemo ili kusiwepo usumbufu kituoni yani wananchi wawe busy kuchagua serikali yao halafu wewe kisimu chako Cha mchina kiwapigie kelele
 
Sharti la kwanza linatoa mwanya wa wizi wa kura. Hiki ni kikwazo kwa wapinzani kushinda.

Kama nilivyo sema tangu mwanzo sharti LA kwanza linatia shaka sana iweji smartphone ziruhusiwe kwa msimamizi wa kituo,msaidize wake na pamoja mlinzi lakini mawakala wa vyama hawaruhusiwi - si tumeambia Dunia kwamba uchaguzi huu utakuwa wa wazi na haki sasa kwa nini hatutaki kifaa ambacho kinaweza kurekodi picha, voice,video clip na data vitumiwe na mawakala wa vyama ambao ni crucial katika mstakabari wa matokeo ya kweli katika Uchaguzi huu, tuwe makini tusifanya mambo ambayo Dunia itaanza kututulia shaka kuhusu matokeo ya uchaguzi huu - my opinion.
 
Kuna utaratibu wa kutumia sio kukatazwa wanatakiwa waweke kwenye mtetemo ili kusiwepo usumbufu kituoni yani wananchi wawe busy kuchagua serikali yao halafu wewe kisimu chako Cha mchina kiwapigie kelele

Mkuu hivi umesoma kwa umakini ni watu gani wanaruhusiwa kuingia na smartphone kwenye vituo vya kupiga kura?

Kwa taarifa yako mawakala wa vyama hawamo/hawaruhusiwi - kwa akili za kawaida hii inatoa picha gani?
 

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Mambo hayo yasiyotakiwa ni;

Mosi; mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo.

Pili; viongozi wa vyama vya siasa, wagombea au wafuasi wao kufanya vitendo vinavyoweza kusababisha fujo, vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabu na kujumlishia kura.

Tatu; vyama vya siasa, wagombea na wafuasi wao katika siku ya kupiga kura kufanya kampeni ya aina yoyote ikiwa ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura mgombea Fulani.

Hii ni pamoja na matumizi ya vyombo vya usafiri vilivyokuwa vinatumika wakati wa kampeni vinavyoashiria utambuzi wa chama Fulani.

Nne, kiongozi, mgombea au mtendaji yeyote wa chama cha siasa kutoa lugha ya matusi kwa mtendaji wa uchaguzi.

Endapo kuna changamoto au lalamiko lolote kuhusiana na mchakato au taratibu za uchaguzi katika kituo cha kupigia kura, changamoto hizo zitawasilishwa kwa maandishi kwa msimamizi wa kituo kupitia kwa wakala.

Tano; kiongozi au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura.

Sita; kiongozi, mgombea au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kujihusisha na vitendo vifuatuvyo:

I. Kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja
II. Kununua kadi ya mpiga kura, kununua kura au kutoa hongo, zawadi, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au mtendaji wa uchaguzi.
Hapo kwenye matumizi ya simu kunahitaji maekezo zaidi .je ipo njia nyingine rasmi ya mawadiliano iliyoandaliwa katika vituo?Kama ipo ni ipi? Je iwapo wakala anahitaji kuwasiliana na chama chake pale anapobaini ukiukwaji was makusudi was taratibu za uchaguzi,no njia ipi atakayotumia ambayo ni huru?he Kama Hanna huoni Kama hiyo ndio njia ya kisayansi ya kupora ushindi kwa aliyeshinda.Kwani tumeshuhudia matukio ya ukiukwaji was taratibu yakuratibiwa.Maelezo ya ziada kutoka kwa wajuzi was Mambo haha tafadhali.
 
ni maelekezo ya kawaida kabisa.uchaguzi ukizungukwa na vyombo vya kitejnolojia ni hatar kudukuliwa.
nitoe wito wa kuweka vikagua vyuma wasachiwe wasiingie na simu
 
Back
Top Bottom