technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hadi viatu vipo, saa na vitu vingineHata Malawi simu janja iliwaponza sana ndio maana uchaguzi ukarudiwa.Vyama vya upinzani nawashauri wanunue vyombo vya kurekodi na kupiga picha kama kalamu, saa, miwani nk vitawasaidia mbeleni.
Ndio CCM wenyewe hao mkuu wana juwa hawataweza kushinda na siri itajulikana!Hahaha
Sio ccm waliosema ni nec
Ila umetisha mkuu
Yaani nimecheka
Ata kivuli chao watakuja kuki ogopaNaona NEX wameanza mbinu chafu mapema, siji wanaogopa nini
CCM wana juwa ata kura 20% hawapatiHuu uoga umepitiluza aisee yaani ni ili uchakachuaji usijulikane, hili lilitakiwa lipingwe kwa nguvu zote.
Mkuu sidhani kama mtu mjinga anaweza ona kitu cha kiuelevu ,lazima uelevu auone ni ujinga na ujinga auone ni uelevu.[emoji34][emoji34][emoji34]mbona sioni Sasa hayo naona maelezo tuu na ujinga ujinga tuu
wazoHiyo kuzuia simu lengo lake ni kuhakikisha hujuma zote zitakazofanyika kituoni hazifahamiki. Nawashauri watu wawe na silaha za jadi za kutosha kuzunguka vituo vya kura. Wakala wa upinzani akiona hujuma wakati wa upigaji, uhesabuji na kutangaza matokeo apige kelele ya mwizi mwizi. Hapo wananchi wenye hasira kali wavamie na kutoa kipigo kikali.
Wasije wakasema tuingie bira nguo kupiga kura maana sio hofu hiyo.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).
Mambo hayo yasiyotakiwa ni;
Mosi; mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo.
Pili; viongozi wa vyama vya siasa, wagombea au wafuasi wao kufanya vitendo vinavyoweza kusababisha fujo, vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabu na kujumlishia kura.
Tatu; vyama vya siasa, wagombea na wafuasi wao katika siku ya kupiga kura kufanya kampeni ya aina yoyote ikiwa ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura mgombea Fulani.
Hii ni pamoja na matumizi ya vyombo vya usafiri vilivyokuwa vinatumika wakati wa kampeni vinavyoashiria utambuzi wa chama Fulani.
Nne, kiongozi, mgombea au mtendaji yeyote wa chama cha siasa kutoa lugha ya matusi kwa mtendaji wa uchaguzi.
Endapo kuna changamoto au lalamiko lolote kuhusiana na mchakato au taratibu za uchaguzi katika kituo cha kupigia kura, changamoto hizo zitawasilishwa kwa maandishi kwa msimamizi wa kituo kupitia kwa wakala.
Tano; kiongozi au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura.
Sita; kiongozi, mgombea au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kujihusisha na vitendo vifuatuvyo:
I. Kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja
II. Kununua kadi ya mpiga kura, kununua kura au kutoa hongo, zawadi, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au mtendaji wa uchaguzi.
Sharti la kwanza linatoa mwanya wa wizi wa kura. Hiki ni kikwazo kwa wapinzani kushinda.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).
Mambo hayo yasiyotakiwa ni;
Mosi; mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo.
Pili; viongozi wa vyama vya siasa, wagombea au wafuasi wao kufanya vitendo vinavyoweza kusababisha fujo, vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabu na kujumlishia kura.
Tatu; vyama vya siasa, wagombea na wafuasi wao katika siku ya kupiga kura kufanya kampeni ya aina yoyote ikiwa ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura mgombea Fulani.
Hii ni pamoja na matumizi ya vyombo vya usafiri vilivyokuwa vinatumika wakati wa kampeni vinavyoashiria utambuzi wa chama Fulani.
Nne, kiongozi, mgombea au mtendaji yeyote wa chama cha siasa kutoa lugha ya matusi kwa mtendaji wa uchaguzi.
Endapo kuna changamoto au lalamiko lolote kuhusiana na mchakato au taratibu za uchaguzi katika kituo cha kupigia kura, changamoto hizo zitawasilishwa kwa maandishi kwa msimamizi wa kituo kupitia kwa wakala.
Tano; kiongozi au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura.
Sita; kiongozi, mgombea au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kujihusisha na vitendo vifuatuvyo:
I. Kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja
II. Kununua kadi ya mpiga kura, kununua kura au kutoa hongo, zawadi, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au mtendaji wa uchaguzi.
Kuna utaratibu wa kutumia sio kukatazwa wanatakiwa waweke kwenye mtetemo ili kusiwepo usumbufu kituoni yani wananchi wawe busy kuchagua serikali yao halafu wewe kisimu chako Cha mchina kiwapigie keleleKwani NEC ina wasi wasi gani kuhusu matumizi ya Simu janja katika vituo vya kupigia kura?
Naona hawataki mawakala wa vyama wapeane taarifa za matokeo ya kura mapema ili wanajue kinacho endelea - hicho ndio nakiona mimi, maelezo mengine ni ya kupoteza lengo tu - the crux of the matter here is to muzzle smartphone communication in real time.
Sharti la kwanza linatoa mwanya wa wizi wa kura. Hiki ni kikwazo kwa wapinzani kushinda.
Kuna utaratibu wa kutumia sio kukatazwa wanatakiwa waweke kwenye mtetemo ili kusiwepo usumbufu kituoni yani wananchi wawe busy kuchagua serikali yao halafu wewe kisimu chako Cha mchina kiwapigie kelele
Hapo kwenye matumizi ya simu kunahitaji maekezo zaidi .je ipo njia nyingine rasmi ya mawadiliano iliyoandaliwa katika vituo?Kama ipo ni ipi? Je iwapo wakala anahitaji kuwasiliana na chama chake pale anapobaini ukiukwaji was makusudi was taratibu za uchaguzi,no njia ipi atakayotumia ambayo ni huru?he Kama Hanna huoni Kama hiyo ndio njia ya kisayansi ya kupora ushindi kwa aliyeshinda.Kwani tumeshuhudia matukio ya ukiukwaji was taratibu yakuratibiwa.Maelezo ya ziada kutoka kwa wajuzi was Mambo haha tafadhali.
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imeweka masharti ya matumizi ya simu katika vituo vya kuhesabu, kupigia na kujumulishia kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).
Mambo hayo yasiyotakiwa ni;
Mosi; mtu yeyote kutumia simu ya kiganjani ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao watatumia simu zao pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu na simu hizo wakati wote ziwe zimeondolewa mlio na ziwe kwenye mtetemo.
Pili; viongozi wa vyama vya siasa, wagombea au wafuasi wao kufanya vitendo vinavyoweza kusababisha fujo, vurugu katika vituo vya kupigia, kuhesabu na kujumlishia kura.
Tatu; vyama vya siasa, wagombea na wafuasi wao katika siku ya kupiga kura kufanya kampeni ya aina yoyote ikiwa ni pamoja na kuvaa vazi lolote au kuwa na kitu chochote kinachoashiria kushawishi watu kumpigia kura mgombea Fulani.
Hii ni pamoja na matumizi ya vyombo vya usafiri vilivyokuwa vinatumika wakati wa kampeni vinavyoashiria utambuzi wa chama Fulani.
Nne, kiongozi, mgombea au mtendaji yeyote wa chama cha siasa kutoa lugha ya matusi kwa mtendaji wa uchaguzi.
Endapo kuna changamoto au lalamiko lolote kuhusiana na mchakato au taratibu za uchaguzi katika kituo cha kupigia kura, changamoto hizo zitawasilishwa kwa maandishi kwa msimamizi wa kituo kupitia kwa wakala.
Tano; kiongozi au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia, kuhesabia au kujumlishia kura.
Sita; kiongozi, mgombea au mtendaji wa chama cha siasa, mwanachama au mfuasi kujihusisha na vitendo vifuatuvyo:
I. Kuwahamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja
II. Kununua kadi ya mpiga kura, kununua kura au kutoa hongo, zawadi, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpiga kura au mtendaji wa uchaguzi.