Bengazuu JF-Expert Member Joined Mar 28, 2013 Posts 1,029 Reaction score 1,236 Apr 13, 2014 #1 ndani ya mwezi huu watu wanasema sana juu ya vijana wa kidato cha 6 kufanya mtihani mwezi wa pili,je'kuna ukweli hapo?msaada
ndani ya mwezi huu watu wanasema sana juu ya vijana wa kidato cha 6 kufanya mtihani mwezi wa pili,je'kuna ukweli hapo?msaada
C Cambri Senior Member Joined Nov 9, 2012 Posts 160 Reaction score 37 Apr 13, 2014 #2 Kama F6 watafanya mtihani mwezi wa 2 inamaana watasoma A level miaka mitatu Hadi 2015 maana sasa ni mwezi wa 4?
Kama F6 watafanya mtihani mwezi wa 2 inamaana watasoma A level miaka mitatu Hadi 2015 maana sasa ni mwezi wa 4?