Pointi za Mtihani wa ACSEE zimepangwa kama ifuatavyo:- Division 1 ni kuanzia 3-7, Division 2 kuanzia 8- 9, Division 3 kuanzia 10-13, Division 4 Mtahiniwa anatakiwa angalau awe amepata D mbili au Principal Pass moja isiyopungua C, na Division 0 ni Mtahniwa aliyepata ufaulu chini ya D mbili.
Matokeo ni kuwa mtahiniwa anakokotoa idadi ya pointi zake katika masomo matatu ya tahasusi (combination). Mfano mtahiniwa akiwa na comb. ya PCB/BAM, GS point zake zitapatikana kwenye masomo ya PCB na sio BAM au GS. Point za BAM na GS hazijumuishwi au hazikokotolewi.
Hivyo masomo matatu ya comb. Ndiyo yanayotoa idadi ya point na division na si vinginevyo. Hata hivyo masomo ya Arabic na I/knowledge kwa Z'bar yana comb na yanatumika kujenga idadi ya pointi wakati kwa upande wa Bara hayatumiki wakati wa kupata idadi ya pointi.
Matokeo ni kuwa mtahiniwa anakokotoa idadi ya pointi zake katika masomo matatu ya tahasusi (combination). Mfano mtahiniwa akiwa na comb. ya PCB/BAM, GS point zake zitapatikana kwenye masomo ya PCB na sio BAM au GS. Point za BAM na GS hazijumuishwi au hazikokotolewi.
Hivyo masomo matatu ya comb. Ndiyo yanayotoa idadi ya point na division na si vinginevyo. Hata hivyo masomo ya Arabic na I/knowledge kwa Z'bar yana comb na yanatumika kujenga idadi ya pointi wakati kwa upande wa Bara hayatumiki wakati wa kupata idadi ya pointi.