NECTA haijafanya madudu upangaji wa matokeo ya ACSEE 2014

NECTA haijafanya madudu upangaji wa matokeo ya ACSEE 2014

msilalamike bure we kama upo baed jikaze tu umalize course.,hv kama division zingepangwa kawaida hzo four na dv5 zisingekuwepo kabsa
 
... Hata hivyo masomo ya Arabic na I/knowledge kwa Z’bar yana comb na yanatumika kujenga idadi ya pointi wakati kwa upande wa Bara hayatumiki wakati wa kupata idadi ya pointi.
Aisee, Arabic na Islamic Knowledge!? Sasa hiyo combination inaitwaje? Waisilamu bwana!
 
Eti therikali ndo imepanga hawa jamaa wafauru vithuri mwaka huu, thatha mie naomb niulithe kwan chuo nako kutakua na hii ktu ya standaz..niniii au ni hawa necta ndo wamefanya hvyo. Me nahc ukweli utajulikana tukiwa chuo, kama dsco ztapunguzwa na therikali ya ccm bas thawa. Samahan lkn thijui kisuahili fasaha.
 
Basi Hapo Kosa Walifanya Mwaka Jana Kuwafelisha Lakini Kwa Mwaka Huu Wapo Sawa Na Miaka Mingine Kutokea 2012....

mkuu, unapoteza nguvu zako bure kubishana na hilo limsukule la Lumumba.
 
Zaman A ilikuwa 75-100 na ndvyo ilivyo mpka sasa acha kupotosha jamii mkuu.

zamani ipi? weka range ya miaka usituchanganye.

Mimi nimehitimu form iv mwaka 1996. Mpangilio wa alama ulikuwa hivi:
81-100 A
61-80 B
41-60 C
21-40 D
0-20 F

Madaraja yalipangwa hivi:
Pointi Divisheni
7-17 I
18-21 II
22-26 III
27-30 IV
31-35 0

Sasa wewe tuambie hiyo 'zamani' yako inaanzia wapi na kuishia wapi?
 
Back
Top Bottom