Necta: Hivi ndivyo kudumisha muungano?

Necta: Hivi ndivyo kudumisha muungano?

Nikuhakikishie bwana Muhogo Mchungu mie nilishawahi kushiriki zoezi la kusahihisha mitihani necta miaka iliyopita, Baraza linachukua walimu kusahihisha hiyo mitihani kutoka pande zote za Tanzania wakiwemo walimu kutoka zanzibar, Pili majina hayatumiki zinatumika namba tu, kwa wanafunzi na pia kwa shule. Kwa hali ya kawaida kama msahihishaji huwezi jua hii shule ni ya pwani au zanzibar, an pia huwezi jua kama huyu mwanafunzi ni mkristo au mwislam manake ni namba tu zinatumika.
Kitu kingine kila swali linasahihishwa na mtu tofauti. Kwa hiyo kwa hali ya kawaida upendeleo haupo kabisa.
La mwisho kama huridhiki na matokeo unaweza kata rufaa karatasi yako ikasahihishwa upya.
Ndugu yangu pamoja na hao waliokutuma naomba mtafute mchawi wa matokeo yenu kuwa mabaya kwa baraza la mitihani kulilaumu mmechemsha kabisa.
Haf mbona hata bara shule za kata wanafeli sana?
 
Bw Muhogomchungu wacha nikujibu kwa hoja chache. Awali niliposoma ile post yako ya seminari zinafanya udanganyifu nliipuuzia nikidhani uliamua tu kuchangamsha jamvi, lakini baada ya kuisoma hii, naona uko siriaz.

Kikukweli mtu unaweza kudhani hivyo kama hujafanya utafiti sana wa unayoyawaza. Bw, Muhogomchungu naomba ufanye utafiti mdogo tu hata kwa kupiga simu kwa watu unaodhani wana ujuzi, utapata majibu yafuatayo;

1. Zipo shule nyingi tu huku bara (zaidi ya 50), ambazo wahitimu wote wamepata Div IV, tena chache, na nyingine zote zero. Mojawapo ni shule ambayo ipo karibu na chuo cha mwenge mjini Moshi (shule ya kata), na kubwa zaidi shule hizi ziko almost evenly distributed over Tanzania bara. (naomba fungua website ya NECTA uthibitishe hilo)

2. Shule ambazo wanafunzi wote wamepata at lowest Div II, ni shule ambazo hufanya mchujo wa hali ya juu kabla ya wanafunzi kufika form IV. Mathalan Uru seminari. Shule hii hupokea zaidi ya applications 1000 za wanaotaka kujiunga form I. Then, huwapa mitihani ya mchujo, na baadae huja kubaki na waliowashinda wenzao ambao nawafikii 100. Hawa huchukuliwa, na shule ina sheria kuwa mwanafunzi anayepata average ya chini ya 50 (miaka ya nyuma ilikuwa hivyo, sijui sasa), katika mitihani ya shule anafukuzwa. Pale wanatunga mitihani migumu hasa, na hukuta kila mwaka, kila darasa lazima wanafukuzwa wanafunzi kadhaa kwa kushindwa kufikia 'kiwango'. Katika hali kama hiyo, kwanza humfanya mwanafunzi asome kwa bidii ili asifukuzwe, na hufanya wale waliofika form IV, wanakuwa wazuri kitaaluma (Kumbuka hawa ni best kati ya say 1000 walioomba mwanzoni.

3. Shule nyingi zinazofanya vizuri, ni shule za private, ambazo, kwanza ada yake ni kubwa hivyo walimu hulipwa vizuri. Lakini pia ukubwa wa ada hufanya wazazi wenye uwezo tu ndio wasomeshe watoto wao pale. Watoto wa wazazi wenye uwezo, mara nyingi huwa hawakusoma katika primary za kawaida, bali katika zile za 'academy' ambapo, ufundushaji wake, hata kama mtoto ni mbumbumbu, 'anapikika' (unaweza kuchunguza hilo, kama hujui). Kwa hiyo watoto hawa wakiingia sekondari, huku wamepikika, wanakuwa na uwezo mkubwa wa kumatch na kiingereza kinachofundishiwa sekondari. Hata hivyo utakuta baadhi ya watoto wa 'wakulima' wachache wenye vipaji vya hali ya juu huweza kufurukuta na hata kuwashinda hawa wa academy, lakini sasa ni wachache.

4. Shule za serikali zinazofanya vizuri huku bara, mfano Ilboru, Mzumbe, Kibaha... huitwa shule za vipaji maalumu, ambapo kati ya malaki wanaofnya mtihani wa primary, wale top ndio wanaopelekwa kule. In average, shule hizi zinastand a good chance ya kuzishinda shule nyingine za changanyikeni. Mimi nimebahatika kusoma seminari 0-level, na baadaye special school (Kibaha) A-level, na naomba nikuhakikishie, kwa moyo mkunjufu kabisa (sikiulazimishi kuamini) kuwa hakuna udanganyifu hata chembe unaofanywa katika shule hizi.

5. Mojawapo wa shule zinazofanya vizuri sana kwa sasa ni Maryan Girls, na hii iko Pwani (Bagamoyo), hata hivyo jiulize je wanaosoma pale ni wa pwani peke yake? Uliza kama una mtu unamfahamu pale kuwa wale masista wanapokea applications ngapi kila mwaka, wangapi wanachaguliwa kuanza form I, wangapi wanafukuzwa njiani kwa kutofikia alama katika mitihani, then uta-realize kwa nini almoast wote wanaomaliza pale wanapata Dv I...

6. Hebu fanya sample analysis ya watahiniwa wote (au basi chukua fair random sample) ya wanafunzi wa bara na Zanzibar (ukihakikisha 'aina' zote za shule zimewakilishwa, then analyze walifaulu (Pass or fail), waliopata Div. I, II, III na IV alaf, njoo na data hapa kama kuna any significant difference kati ya bara na zenj. (Binafsi naamini hakuna difference). Difference umeiona bw Muhogo kwa sababu umekuwa biased kwa ku-consider shule chache tu ambazo nimekupa characteristics zake (Mind you bara ni kubwa, shule 20 kwao ni chache sana, ukifananisha na zenj kwa mfano)

7. Wapo wazanzibar wengi sana wanaosoma katika shule hizi zinazofaulisha sana huku bara, nao wanafaulu. Hali kadhalika, wapo waislamu wengi sana ambao, wamefaulu vizuri latika shule hizi na nyingine za serikali. Sina hakika, lakini naamini ukichukua wanafunzi 1000 wakristo, na 1000 waislamu kwa mfano kutoka katika shule zisizomilikiwa na mashirika ya dini, utagundua kuwa hakuna difference kwenye ufaulu kwa kuchukua kigezo cha dini.

Kumbuka bw Muhogo mchungu kuwa kwa 'average' zenj 'imeendelea' zaidi katika muungano. Mi niwewahi kutembelea maeneo kadhaa ya zenj. Unaweza kuthibitisha hili kwa kuangalia %ge ya barabara za lami, idadi ya vituo vya afya na hospt, in relation to number of people nk. Usifananishe zenj na Dar, au na Tz unayoiona kwenye TV, njoo bara tukupeleke kwenye vijiji vya 'ukweli' ndo ujue kuwa nyie mko juu. Njoo bara tukuonyeshe (ingia tu kwenye website ya NECTA) Div O za kutisha ndo ujue mko juu.
 
amijei ,kumekucha amka gahawa itaisha etiii..its a Crap of the day,ni heri kukaa kimya kuficha ujinga wako kuliko kuzungumza na kutuondea mashaka yote...ww unadhani A's zinakuja tu,waseminary wanaandaa vijana kuanzia mwanzo kwanza nyingi kuna pre form one,then form 1 to form 4,kukiwa na pass mark ya juu na test kila mara,walimu bora,vitabu etc na kuchuja wanafunz wasiofikisha wastani..mwisho wa siku inabak cream na ndio wanapasua kwel kwel..acheni visingizio andaeni wanafunz pia washirikiane sio wasichana wanakaa siti za nyuma ,wavulana mbele na kuvaa njiwa..elimu haina short cut..msingi mbovu na kungangania walimu wa kiislam hata kama wakristu wenye sifa wapo.ubaguz unawakost.
 
waalim wa wazanzibar wawe na kamati za ushindi ingawa dini hairuhusu lakini kwenye vita haina budi mbinu kutumika!mfano division I nyingi za seminari zinatokana na masomo ya BIBLE KNOWLEDGE,COOKERY,NEEDLE WORK wanapata A.Wakati islamic knowledge mwanafunzi wa kwanza C

Wee ni nani alikuambia kwamba Seminary wanasoma Cookery na needle work.Acha upotoshaji wewe!!
 
NECTA: HIVI NDIVYO KUDUMISHA MUUNGANO?

Na: Malik Nabwa
Katika mambo ambayo yanauma sana na kuumiza matumbo ni pale mtu au kikundi cha watu chenye kufanya mabaya, kinapojitakasa kwa kutumia lugha nzuri kuhalalisha maovu wayafanyayo. Kwa mfano, kuna watu huweza jiita mujahidina ili kutoa picha nzuri kwa jamii kubwa ya Waislamu ili pia na vitendo vyao viungwe mkono kwa kuamini wao ni wana jihadi, lakini ukivipima hivyo vitendo vyenyewe havimo katika uislamu kabisa
Kuna watu hujiita watetezi wa haki za binaadamu lakini kiudhati wao huwa ndio wavunjaji wakubwa wa haki hizo. Na wako pia wanaojiita watetezi wa wanyonge lakini ikawa hiyo ni njia yao au kibali chao cha kupata kuwanyonyoa vizuri hao wanyonge inaojitia kuwatetea.
Natamaka haya kwamba hapa kwetu tumepata kijisababu kiitwacho Muungano. Imekuwa jambo kunuka kiambo. Kila Mzanzibari anavyojaribu kujitetea na kudai haki zake basi hubambikizwa neno la ‘mvunja muungano'. Wakati tukijuwa wazi kuwa muungano ni mashaka na zigo la mazagazaga ya taka iliyokolea vundo kwa Mzanzibari, Viongozi wetu wa bara na Wa hapa Zanzibar wakija kwetu, hutuimbia wimbo huu wa ''kudumisha Muungano''. Ninavyojua mimi muungano madhubuti hujengwa kwa misingi halali iliyosimamiwa kisheria ikiwa ni pamoja na kutendeana haki pande zote zilizoungana bila ya kuwepo hujuma au kinyume , mtima nyongo, au machapa kungu Fulani hivi.
Nijuavyo Muungano ni kupendana kwa dhati na kutakiana mema kila uchao. Muungano ni kudumisha amani na utulivu wa kweli na sio wa katika bomba tu. Muungano ni kuunga nguvu isiyo chembe ya unafiki, wala Uazandiki ndani yake. Muungano ni kujitakasa na unafiki, na unyonyaji au Ukandamizaji wa aina zote kati ya pande zinazoshirikiana. Muungano ni kuungana nguvu, na kushikana mikono pale mmoja anapokwama akakwamuliwa. Hivi tujiulize huu muungano wetu una maana hii? Una sifa hizi?
Mfano mdogo tuzungushie shingo Baraza la mitihani la taifa (NECTA).Tangu miaka ya 1970 na baada ya kuundwa kwa baraza la mitihani la Bara na sio la Tanzania, Wazanzibari tumekuwa wahanga wakubwa wa baraza hili hasa pale inapokuja mitihani ya masomo inayosimamiwa na wao wenyewe chini ya baraza kandamizi pendelezi liitwalo NECTA.
Kuna wakati kabla ya Marehemu Kigoma Malima baraza hili likuwa na njama dhidi ya wanafunzi wenye asili ya kiislamu. Ikawa ukiwa na uislamu tu hupiti kwa njia yoyote ile. Unaletewa ‘C' ya dini, na kiarabu, tena hapo uwe ni hodari wa kutafutiwa watu. Mungu akampa maarifa kabla hajahujumiwa Bwana Malima akabadilisha mfumo akaleta nambari za mitihani bila majina. Tukawa tunapata asilimia kumi kuendelea usoni. Ndio akina sisi wawili watatu.
Lakini kila uchao, muelekeo wa sasa ni wazi kuwa Baraza la mitihani linaendesha hujuma za chini kwa chini dhidi ya Waislamu na hasa sasa wazanzibari. Mimi siwezi amini hata siku moja kama watu wote katika darasa moja huwa na ufahamu wa aiana moja au unaolingana kwa karibu mno kwa wote darasa zima.
Hakuna utafiti uliowahi kuthibitisha hili kuwa watu 40 Darasani waliochaguliwa tu hivi (randomly) kisha wakawa na uwezo wa aina moja kwani watalamu husema Individual differences are Inevitable''. Lakini hili bara wanalikataa kabisa kupitia NECTA. Kuna shule huko darasa zima lina Div 1, na nyengine Division 1-2, hakuna 3 Darasa zima. Kila mwaka huwa hivi. Maajabu ya nani haya, maana si ya Musa wala Firauni.
Sasa kwa sisi ambao hatuujui ualimu hata kidogo hatuwezi fahamu kitaalamu lakini kwa akili hii ya kichwa mchungwa hili haiyumkiniki hata kidogo. Lakini kwa baraza la mitihani hii ni hali ya kawaida katika dunia yao. Ukweli ni kwamba bara kuna Skuli haizijawahipo kukosa hizo Div 1 na 2 kwa kila mwaka na kila mwanafunzi utamkuta kapata alama hizo.
Huku Zanzibar Division One huwa lulu au kipusa (Pearl in the Crown). NECTA kwa maana yao inajaribu kutushawishi kila hali tukubali kuwa Zanzibar hawana uwezo wa kusoma na kwa maana hiyo Muungano ni msaada mkubwa kwetu kutufikisha anaglau hapao padogo tulipo. Na ndio ukaona hata Viongozi wanatuchagulia wengi huwa ni wale waliowakataa wao NECTA kwani wakiwaeka wenye maarifa makubwa watahoji kama alivyofanya Bwana Kigoma Malima.
Ukiuliza sababu za kufeli sana huku siku hizi utatajiwa nyingi sana. Hakuna walimu wazuri, moja bara bila shaka walimu wao hutoka angani. Mbili, hakuna vifaa vya kutosha, mbili, bara hutengeneza vyao. Walimu hawalipwi vizuri, tatu, sawa lakini khaah! Hata hili?. Wazanzibari hawataki kusoma ni wanyeye (Bogus), nne, ni kiasi tuitwe hivi maana mtu kukubali changanya ng'ombe mmoja na mmasai alien a Ng'ombe milioni arubaini si ubwege mdogo huo, lakini sidhani kama unaathiri matokeo nchi nzima, pengine labda!. Na sababu nyengine mutajazia nyie wenyewe. Maneno haya ndio yanayosemwa na kufanywa kuwa hoja kuu huko NECTA na kwa wenzetu wa bara kuhusu kuanguka kwetu katika matokeo ya mitihani ya taifa..
Lakini mimi kwa maarifa yangu kumvikumvi, na mawazo manayaufunyaufu ni kuwa haiwezekani kabisa kuwa wanafunzi 40 wote wakawa wana daraja moja ya uwezo au inayolingana kiasi ya kuwa siku zote ni Divisheni 1-2 basi tena kwa kila somo. Dhana hii potevu inapingana kabisa na tafiti kongwe za kisaikolojia ya Elimu zinazoamini kuwepo kwa ''ndividual differences'' madarasani na hata ''exceptionality'' humo madarasani. Sasa tukisema kuwa NECTA imegawa maeneo yake itakavyo na kuyafanya yote yawe ya kiwango sawa (Homeogeniouos) ili kuyata kafara kutimiza azma yao ya kisiasa hilo halina mushkeli, tusidanganyane.
Kwa mafano anuai angalia matokeo, Maeneo ya pwani yote ya Tanzania na Zanzibar yake hao ni watu wa kupata C za kuchaguwa, D rundo kwa rundo na waliobaki wote F tupu hata wakiwa vipi. Wakijua wazi mgao huu uatawapitisha Wazanzibari chini ya asilimia 20% kuendelea na masomo ya juu. Huku kwao wakitoa alama za juu kwa shule zao za Seminari na nyenginezo katika malengo yao ya milenia, darasa zima hupewa alama A tupu na waliobakia B na wasio na bahati kidogo huishia C lakini kwa ufupi hafeli mtu huko si kama huku kwetu.
Nionavyo, pamoja na sababu zote wanazozitoa kuhusu Zanzibar kuhalalisha kufanya kwetu vibaya takribani mara zote katika mitihani ya taifa, kuna hujuma na ukorofi dhidi yetu huko katika baraza la mitihani. Na ningekuwa bungeni au uwakilishini hivi sasa (Siwezi kuwa tena kwa sasa maskini) basi ningeomba iundwe tume ya kuchunguza uhalali wa matokeo baraza la mitihani la Taifa (NECTA). Kwa hili nisingekuwa na wasiwasi maana ukweli haufichiki.Tungewakamata tu maana Dr. Malima alipitia nia hii hii na hakuchukua muda aliwatia nguvuni.
Haiwezekani hata siku moja watu wa nchi Fulani wawe ni mazuzu karibu wote na wa nchi nyengine jirani wawe mahodari wote hata kama wangeumbwa na kuzaliwa tumbo moja.Vyovyote iwavyo, nasema NECTA kuna hujuma tena ya muda mrefu na sasa kama ni jipu lishawiva tulipasuwe tulitowe moyo tuuguze kidonda siku mbili ya tatu tubakishe kovu. Bila hivyo hawa watatumaliza maana wanajua wazi kutufanyia hivyo ni kunedeleza kuudumisha huo Muungano kwani tutakuwa hatuna sauti ya kuhoji na kudai haki zetu.
Muda si muda hivi, MATOKEO yameshatoka na Shule ya Biashara Mombasa ni ya pili kwa Zanzibar huku Lumumba ikiongoza na katika gredi ya taifa ni 93 nchi nzima. Hodari wetu hao wako katika nafasi hiyo. Hii ni taswira ya kututawla kisaikoljia na kutufanya tujione matobwe mbele yao siku zote. Hata ukiangalia vipindi vyao vya vituko basi dhihaka (Stereotypes) zao zote ni za kejeli tu dhidi yetu kutuona nyungunyungu au konokono asie gamba (Escargot). Ndio ukasikia mara ‘mdebwedo', ‘ami', ‘akhee', yote hii ni dhihaka ya kutuona sisi wazulufu na wabole na sio utani kama tunavyodhani.
Mpendwa msomaji na mzalendo, nikiwa naandika makala hii niko na jazba kidogo (emotional) kumradhi, lakini kwa yoyote anaetaka kujaribu kuchunguza uukweli huu, basi na iundwe tume huru kuichunguza NECTA kisha itupe majibu. Hilo moja. Pili, Zanzibar na ijitoe iingie katika mitihani ya Cambridge ambayo itatungwa na kusahishwa hukohuko Maksifodi na makambriji na huku bara nao wakifanya mitihani yao na hiyo ya Cambridge tuone. Naamini hawatapasi wanafunzi wote huku Zanzibar lakini haitakuwa dhulma kama hivi ilivyo sasa chini ya NECTA. Tuamke, tutanabahi, tufikiri namna ya kujivua na baraza hili. Bila hivyo tutakuwa vilaza wa Elimu wa Kimataifa muda si mrefu kwa sababu hiyo ndio taswira wanayoijenga NECTA mbele ya dunia.
‘Mbuyu zishakaangwa wenye meno tafuneni!'
Wakatabahu.
Nabwa!
Poleni sana wazenji, Kwa mwendo huu hakuna haja ya mitihani, nashauri baraza la wawakilishi litunge sheria ya kuanzisha ZECTA ili liwakomboe kutoka katika ukandamizaji wa NECTA ; pili Baraza liweke seria kwamba kiwango cha chini cha kufaulu ZECT ni Div II, hope hii itaondoa majonzi ngandamizi. However, remeber to evaluate the impact after 5 ton 10 years . Kwa mwendo wa mwandishi huyo hii nchi haitakuja kuendela hata siku moja, haya kila tatizo badala ya kutafuta root cause tunakilmbilia Muungano na dini ......,
 
Unajua wakati Nasoma O- Levl Old Moshi nilikuwa naamini kwamba Ilboru wanaiba Mitihani, Bahati Nzuri A-Level nikapangiwa Ilboru, I'm telling you out of 80 students wanafunzi 70 tulipata One na two zilikuwa kama tisa na Three ilikuwa moja tena ya Penati jamaa alifeli GS, hakuna Udanganyifu ni watu kujua nini kimewapeleka Shule
 
HIVI KWANZA WEWE UNA ELIMU GANI? 'No research no right to speak! Tanzania ni kubwa sana, Nivigumu

kumuelimisha mtu kama wewe ambae ulikimbia shule uikidhani unaikomopa.


Nyie ndo mnaharibu maendeleo ya nchi kwa kuchkachua kila kitu.

Kwa hyo unataka NECTA nao wachakachue ili kukidhi matakwa yako yaso na mwelekeo? WAMBIE NDUGU ZAKO WAPIGE

SHULE NA WAACHANE NA MAJUNGU KWANI HAYAWALETEI TIJA SANASANA MTAENDELEA KUZAMA KATIKA DIMBWI LA

UJINGA NA UMASIKINI MPAKA KIHAMA.

 
Hivi kwanini hawa wazanzibari kila kinachofanywa na wabara wanalalamika?

Mbona hii imetoka kwenu Unguja?


http://admin.udsm.ac.tz/necta2010/CSEE2010/s1085.htm


NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2010 EXAMINATION RESULTS


S1085 LAUREATE INTERNATIONAL SCHOOL


DIV-I = 3 DIV-II = 8 DIV-III = 33 DIV-IV = 27 FLD = 0


EXAMINATION CENTRE REGION
UNGUJA
TOTAL PASSED CANDIDATES
71
EXAMINATION CENTRE GPA
3.4716
CENTRE CATEGORY
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)
4/69
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)
139/3196


Kuna hii tena iko bara inaitwa JIHAD

Unataka kusema hao wanafunzi wakristo waliofeli ni NECTA haikuwatendea haki?

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2010 EXAMINATION RESULTS


S1094 JIHAD SECONDARY SCHOOL


DIV-I = 1 DIV-II = 5 DIV-III = 14 DIV-IV = 121 FLD = 136



CNO
SEX
CANDIDATE NAME
AGGT
DIV
DETAILED SUBJECTS
S1094/0001
F
ADROPHINA VENANCE BONIPHACE
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0002
F
AFISA WARIOBA PHILIPO
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0003
F
AGNESS BLASIO MOSOZI
28
IV
CIV-C HIST-D GEO-F KISW-C ENGL-C BIO-F B/MATH-F
S1094/0004
F
AMINA ABDALLAH SELEMANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0005
F
AMINA NUHU
-
ABS
CIV-X HIST-X GEO-X KISW-X ENGL-X BIO-X B/MATH-X
S1094/0006
F
AMINA SADIKI HUSSEIN
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0007
F
AMISA KASSIM RASHID
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0008
F
AMISA ATHUMANI KHATIBU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0009
F
ANESFORA BELISHAZA SHEDRACK
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0010
F
ANNA MUNDA SELEVESTO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0011
F
ANSILA PHILIPO NTABHILIHO
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0012
F
ASHA ABDILLAH HABIBU
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0013
F
ASIA KHAMISI MFAMAO
26
IV
CIV-D HIST-F GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-F CHEM-D BIO-D B/MATH-C
S1094/0014
F
BETTYNICE SAMSON MASAKA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0015
F
CHRISTINA EDWARD KABUNGA
28
IV
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-C ENGL-F CHEM-D BIO-D B/MATH-D
S1094/0016
F
CHRISTINA DAMIAN REMMY
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0017
F
EDITHA DANIEL HOGA
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0018
F
ELESIA GERALD
-
ABS
CIV-X HIST-X GEO-X KISW-X ENGL-X BIO-X B/MATH-X
S1094/0019
F
ELIZABETH CHARLES MGONJA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0020
F
ELIZABETH JACKOB JOHN
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0021
F
ESTER ANDREA PETRO
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0022
F
ESTA CASSIAN MYONGA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0023
F
ESTHER SEBASTIAN MDUGA
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0024
F
FATHIYA YOBA RAJABU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0025
F
FATMA KHAMISI ALLY
32
IV
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0026
F
FATUMA SEIF ABDALLAH
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0027
F
FATUMA MAHMOUD MUSSA
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0028
F
FATUMA IBRAHIMU MSEBA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0029
F
FATUMA JUMA TOFIKI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0030
F
FAUZIA EMANUEL KIMWEMWE
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0031
F
FIDESIA ANTHONY KADALI
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0032
F
FURAHA HAMISI RAMADHANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-X KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0033
F
GRACE NASHON CHARLES
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0034
F
GRACE OTUOMA AKECH
26
IV
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C BIO-F B/MATH-D
S1094/0035
F
GRACE BISWAMO LAURENT
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0036
F
HADIJA YAHAYA JAFARI
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0037
F
HADIJA SHOMARI IBRAHIMU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0038
F
HALIMA AYUBU HASSAN
29
IV
CIV-C HIST-F GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0039
F
HAPPNESS PETER MAGUNGA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0040
F
HAPPY MWAIKAMBO GEROME
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0041
F
HAPPYNESS STEPHANO SHEDRACK
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0042
F
HAPPYPHANIA GEORGE NYIMBO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0043
F
HAWA SAIDI SHABANI
32
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0044
F
HAWA SADICK SAID
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0045
F
HAWA OMARY ATHUMANI
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0046
F
HILDA ZINGIZA MADUA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0047
F
JACKLINE ALPHONCE KICHEMLI
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F FREN-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0048
F
JANE MGANGA MLUMBA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0049
F
JOHARI RAJABU IDDI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0050
F
JOSEPHINA JULIUS KAYUMBO
27
IV
CIV-B HIST-C GEO-F KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0051
F
KHADIJA UMANDE RAJABU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0052
F
KYALA HAMISI SHABANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0053
F
LESA OBADIA HOZA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0054
F
LIBERATHA EDWARD NGANYA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0055
F
LUCY MARTON SARUHALA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0056
F
MAGRETH ALBERTO NYEGEZA
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0057
F
MAGRETH PETRO MERICK
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0058
F
MAIMUNA JUMA KAHERA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0059
F
MARIAM BONIPHACE REUBEN
30
IV
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0060
F
MARIAM SAID MAHUMBA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0061
F
MERY BENETH DYAMVUNYE
32
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0062
F
MELABU FALECE HINYULA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0063
F
MENGI JUMANNE SEIF
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0064
F
MGENI YALAGWILA SAID
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0065
F
MTUMWA KASONGO ABDI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0066
F
MWAJUMA ABDALLAH RAJABU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0067
F
MWAJUMA JUMA KAHERA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0068
F
MWAMVUA SHABANI ULIMWENGU
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0069
F
MWANAISHA RASHID ALLY
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0070
F
MWASITI HASSAN KARUKI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0071
F
MWAVITA AMRANI CHATA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0072
F
NAOMI ZAHARA KARIMA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0073
F
NEEMA MOSES CHRISTOPHER
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0074
F
PAULINA PETER MWIGA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0075
F
REHEMA SAID YUSUPH
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0076
F
RUKIA BAKARI KAYANDA
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0077
F
SADA TWAHA MWANZALIMA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0078
F
SAIDA HAMISI MPENDA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0079
F
SALMA JUMANNE BAMBA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0080
F
SANGO HAMISI MATAMA
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0081
F
SARAH DAMAS RUTAHA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0082
F
SARAH JULIUS MIKAMBA
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0083
F
SHARIFA ISSA SADIKI
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0084
F
SIJA YUSUPH JUMA
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0085
F
SIWEMA SAID MPILIPILI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0086
F
SOPHIA BENJAMIN COSMAS
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0087
F
SUBIRA YAKOBO YOHANA
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0088
F
TAMARI STEPHANO SHEDRACK
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0089
F
TAMASHA JUMANNE MUSSA
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0090
F
TAMASHA MASHAKA HASSAN
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0091
F
TATU KABUNGURU YASSIN
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0092
F
TATU HUSSEIN KAKOLWA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0093
F
TATU JOHN KAGINA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0094
F
TAUSI MUSSA NYAMUMILA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0095
F
THEOPISTA VENANCE MAHEHWE
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0096
F
THERESIA ERICK NSOMECKO
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0097
F
THININA HALID MSUKUTA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0098
F
TUYAHOLE KASSIM RUBAYE
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0099
F
VENENSIA BARTAZAR CHUBWA
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0100
F
VERONICA LAZARO NTANCHUNTI
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0101
F
ZAINABU YAHAYA MAULID
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0102
F
ZAITUNI KUWINI NTIYUMVINGWA
31
IV
CIV-F HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0103
F
ZAUJATI MUSSA KITOTA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0104
F
ZENA YASSIN ZUBERI
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0105
F
ZUBEDA KASSIM RASHID
33
IV
CIV-F HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0106
F
ZUBEDA MBARUKU MASOUD
28
IV
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-D CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0107
F
ZUBEDA HUSSEIN RUTEMBA
28
IV
CIV-C HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0108
F
ZULFA RASHID HASSAN
27
IV
CIV-C HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0109
F
ZUWENA KHALID IDDI
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0110
F
ZUWENA MOSHI KINDANDA
29
IV
CIV-C HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0111
M
ABDALLAH KILINDILA ABEID
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0112
M
ABDALLAH HARUNA KAHOZA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0113
M
ABDALLAH HILALI MAHUBA
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-C ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0114
M
ABDUL SHABANI RASHID
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-X KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0115
M
ABDULWAKILU RASHID SANZE
29
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-F ARABIC-C BIO-F B/MATH-F
S1094/0116
M
ABEID HUSSEIN IDDI
27
IV
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-F PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0117
M
ADHUHURI HATIBU MISIGARO
26
IV
CIV-C HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-C KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0118
M
AHMAD KASSIMU RASHID
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0119
M
AHMAD ABEID RAMADHANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0120
M
AKIBU IBRAHIM TUUNDI
31
IV
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-F ENGL-F ARABIC-C BIO-F B/MATH-F
S1094/0121
M
ALLY YUSUPH KISESA
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F FREN-X BIO-F B/MATH-F
S1094/0122
M
ALLY ISSA HASSAN
32
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0123
M
AMANIA NASHON MADEBE
25
III
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D CHEM-C BIO-D B/MATH-D
S1094/0124
M
AMOS DAVID MWAKILILI
32
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0125
M
AMRU MASUDI NTIRUHUNGWA
20
II
CIV-C HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-D PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-C
S1094/0126
M
ANWARY JUMBE KAGARUKI
19
II
CIV-B HIST-C GEO-C KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-C B/MATH-C
S1094/0127
M
ATHUMANI MRISHO ATHUMANI
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0128
M
ATHUMANI ABDALLAH SEIF
32
IV
CIV-D HIST-F GEO-D E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0129
M
ATHUMANI HARUNA RAMADHANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0130
M
AYOUB JOHN NDOLO
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0131
M
AZARIA SAMWEL KIZA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0132
M
BAKARI MUSTAPHA BWAMEZE
-
ABS
CIV-X HIST-X GEO-X KISW-X ENGL-X BIO-X B/MATH-X
S1094/0133
M
BARAKA HASSAN MTIPURA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0134
M
BARAKA YAHAYA NYUNDWA
31
IV
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-F ENGL-F ARABIC-C BIO-F B/MATH-F
S1094/0135
M
BARAKA STEVEN BUJIJI
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-D
S1094/0136
M
BARAKA HAMISI KITEMO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0137
M
BENEDICTO BIKENGERA TOZWA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0138
M
BENJAMIN BARTAZAR NTABAYE
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-D
S1094/0139
M
BENN MATHIAS DANGWA
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0140
M
BERNALD DANIEL PETER
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0141
M
BIHUDI PILIDAS JACKSON
23
III
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-C
S1094/0142
M
CHRISTOPHER JOSEPH MWANAKOMBE
31
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0143
M
DAMIANO SAMSON MGAYA
27
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0144
M
DAUDI OBADIA KABUGA
26
IV
CIV-C HIST-D GEO-F KISW-C ENGL-C CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0145
M
DIOF GERVAS NENEJE
31
IV
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F CHEM-D BIO-D B/MATH-D
S1094/0146
M
EDISON ASHELY BALELA
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0147
M
EDWARD BLASIO MOSOZI
28
IV
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0148
M
EUGEN JAMES MSEHELE
30
IV
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F
S1094/0149
M
ELIKANA EMANUEL KINANA
25
III
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-C BIO-D B/MATH-D
S1094/0150
M
ELISAFANI AYOUB CHOBALIKO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0151
M
EMANUEL EDWARD PHILIPHO
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0152
M
EMANUEL LEORNALD NZILAYILUNDE
32
IV
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0153
M
EMANUEL KABWENDE BAKARI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0154
M
ERICK JULIUS VICENT
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0155
M
ERICK DAVID DOMINICK
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0156
M
ERICK HAMISI RAPHAEL
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0157
M
ESSAU SADICK NTAWISHINGA
30
IV
CIV-D HIST-C GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0158
M
EXAVERY BONIFACE LUHOBE
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0159
M
EZEKIEL NTUTSE JORAM
30
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-D CHEM-D BIO-F B/MATH-D
S1094/0160
M
EZEKIEL KASIANO SINGOYE
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0161
M
EZRA SOLOMON KAYANDA
21
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-C CHEM-B BIO-D B/MATH-C
S1094/0162
M
FARAJI ABDULMUKSIN KAKOLWA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0163
M
FRANK CHIZA ANTHONY
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0164
M
GIDION YOELI ZAKARIA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0165
M
HAJI HAMISI NDEZAKO
31
IV
CIV-F HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-D BIO-F B/MATH-D
S1094/0166
M
HAKI ATHUMANI KAROMBWE
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0167
M
HAMIDU JUMAA KARATA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0168
M
HAMISI JUMAPILI SANGO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0169
M
HAMISI RAMADHANI RASHID
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0170
M
HAMISI GABO KASSIM
20
II
CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-B
S1094/0171
M
HARUNA MASHAKA YAHAYA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0172
M
HASHIM ALMAS NYEMBWE
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-F ENGL-D CHEM-F BIO-F B/MATH-D
S1094/0173
M
HOSEA SAMWEL ALINOLT
30
IV
CIV-F HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D FREN-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0174
M
HUSSEIN FIKIRINI RUBASE
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0175
M
HUSSEIN RAMADHANI MONDO
24
III
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C BIO-F B/MATH-D COMM-D B/KEEPING-D
S1094/0176
M
IBRAHIMU HUSSEIN NTAZABILA
30
IV
CIV-C HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0177
M
IBRAHIMU ISSA HAMIMU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0178
M
IDDI JUMBE HUSSEIN
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0179
M
IDDI MASHAKA ZUBERI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0180
M
ISAYA JONAS KABHISE
32
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-F ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0181
M
ISMAIL HASSANI MPENDA
26
IV
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-C KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F COMM-D B/KEEPING-C
S1094/0182
M
ISMAIL HALFAN ISMAIL
27
IV
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-D CHEM-C BIO-D B/MATH-F
S1094/0183
M
JABIR JUMANNE MAARUFU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0184
M
JACKSON JAMES MSEHELE
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0185
M
JAMES ELIAS KANAN
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0186
M
JAZIR ZAMIR MOKA
26
IV
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F
S1094/0187
M
JOHN JEREMIAH KITWANGA
31
IV
CIV-D HIST-C GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0188
M
JOHN GWAKISA MWANDURUSYA
28
IV
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-F CHEM-D BIO-F B/MATH-D
S1094/0189
M
JOSEPH TUBANGA KIJA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F
S1094/0190
M
JOSEPH JOHN KAVAHO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0191
M
JULIUS THOBIAS HOZA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0192
M
JUMA IBRAHIM RUBAKA
34
FLD
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0193
M
JUMANNE SALUMU SELEMANI
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0194
M
KARABWE ABDUL KARABWE
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0195
M
KASELABANTU AYOUB KASELA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0196
M
KASSIM LUKA SALIMIN
25
III
CIV-C HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-D
S1094/0197
M
KASSIM ABAS KANGETA
32
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0198
M
KASSIM SAID NZWIBA
24
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-F PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-C
S1094/0199
M
KAYANDA PHALECE TUNGO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0200
M
KAZIR HUSSEIN KAZIR
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0201
M
KHALIFA SHABANI HILALI
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0202
M
KIMWERI MTOI SALEHE
28
IV
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-D
S1094/0203
M
KIVURA MAHMOUD MWIGA
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0204
M
KUDRA ABOUBAKAR PETER
26
IV
CIV-C HIST-C GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0205
M
KULWA SAIMON
-
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-X
S1094/0206
M
LUMONA BONIFACE SHABANI
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-D
S1094/0207
M
MAARUFU ALLY MOTOMOTO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-X KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0208
M
MAJENGO LUGEZA MAJENGO
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-C ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0209
M
MALAKI RUBUNDI RUHAZA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0210
M
MANSOURY OMARY MTORO
32
IV
CIV-C HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0211
M
MARTIN ELIAS JAMES
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0212
M
MASOUD IBRAHIMU MASOUD
27
IV
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-F B/MATH-C
S1094/0213
M
MASUDI RAMADHANI LIHENYE
31
IV
CIV-D HIST-F GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0214
M
MAULID HARUNA SEIF
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-D B/MATH-F
S1094/0215
M
MAULID MOHAMED MAPAGWA
24
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-C
S1094/0216
M
MELICK ISSACK LUASA
28
IV
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-D BIO-F B/MATH-D COMM-F B/KEEPING-D
S1094/0217
M
MFAUME ABDI SELEMANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0218
M
MIRAJI RASHID KHAMISI
25
III
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-C
S1094/0219
M
MLINDWA KINTU FRANK
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0220
M
MOHAMED SHABANI ALLY
26
IV
CIV-D HIST-C GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-D CHEM-D BIO-D B/MATH-C
S1094/0221
M
MOHAMED RUGINA KIKA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0222
M
MOHAMED IDDI BILLING
33
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0223
M
MOSES FABIAN KALOKAZA
21
II
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-B CHEM-C BIO-C B/MATH-B
S1094/0224
M
MTAMBO ATHUMANI IBRAHIMU
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0225
M
MUSSA MAMBO MALICK
32
IV
CIV-F HIST-F GEO-D E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-D B/MATH-D
S1094/0226
M
MUSTAPHA HASSAN KAKEYANGA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0227
M
NDALUSANYE MOSHI MILONGO
27
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-D
S1094/0228
M
NESTORY MATHIAS LEGELA
24
III
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-D CHEM-C BIO-D B/MATH-C
S1094/0229
M
NICODEMUS DANIEL MBOMBO
33
IV
CIV-C HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F
S1094/0230
M
NKATA KAGOMA NKATA
26
IV
CIV-D HIST-C GEO-C KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0231
M
NOVATUS NTAYOMBA KISOGOLO
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0232
M
NUHU MAHMOUD SANTOKE
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-D CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0233
M
OBEID CHRISTOPHER JOSHUA
-
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-X
S1094/0234
M
OMARY BARUA KHALFAN
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0235
M
POWEVESTER DANIEL NGULUMA
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0236
M
RAJABU SHABANI RAJABU
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F PHY-F CHEM-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0237
M
RAMADHANI HABIBU LUTOZI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0238
M
RAMADHANI JUMA KANANI
34
FLD
CIV-F HIST-D GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0239
M
RAPHAEL MASHENENE BONIPHACE
32
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0240
M
RASHID MOSHI IBRAHIMU
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0241
M
RASHID HARUNA MBOGA
21
III
CIV-C HIST-C GEO-D E/D/KIISLAMU-C KISW-C ENGL-D ARABIC-A BIO-F B/MATH-F
S1094/0242
M
REVOCATUS SEBASTIAN KALIMANZILA
27
IV
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0243
M
RIGOBERT SAMWEL ALINOLITI
30
IV
CIV-D HIST-C GEO-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0244
M
RUHAMBA SALUMU MTINDO
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0245
M
RUSANZU EDWARD RUBIGO
22
III
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-D CHEM-B BIO-C B/MATH-C
S1094/0246
M
SADDAM HAMIMU OMARY
31
IV
CIV-C HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0247
M
SADY DUNIA KESSY
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0248
M
SAID ABEID ATHUMANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-X KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F
S1094/0249
M
SAID RAJABU MOHAMED
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0250
M
SAID ABDALLAH FIKIRINI
27
IV
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-D BIO-D B/MATH-D
S1094/0251
M
SAID ADAM SAID
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0252
M
SAID ATHUMANI KHATIBU
32
IV
CIV-F HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0253
M
SAID YAHAYA SAID
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-D
S1094/0254
M
SAID ISSA RAJABU
24
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-D
S1094/0255
M
SALEHE OMARY HAMIS
22
III
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-B BIO-D B/MATH-C
S1094/0256
M
SALMIN KESSY OMARY
27
IV
CIV-B HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C BIO-F B/MATH-F
S1094/0257
M
SALUMU ALLY JUMA
28
IV
CIV-D HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-B KISW-C ENGL-F ARABIC-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0258
M
SALUMU SHABANI GWANZURA
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0259
M
SAMWEL SHEMAYA SHERTIEL
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F COMM-F B/KEEPING-F
S1094/0260
M
SEBASTIAN PIUS BIKELENKE
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0261
M
SEIF ABAS IDDI
25
III
CIV-F HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-C KISW-F ENGL-F PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-C
S1094/0262
M
SEIF SALIBOKO SEIF
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F ARABIC-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0263
M
SHARIF RAJABU KISHAKALI
15
I
CIV-C HIST-C GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-C ENGL-D PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-B
S1094/0264
M
SHEDRACK JUMA LUVAKO
31
IV
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-D B/MATH-F
S1094/0265
M
SHUKRANI AMON MIGEZO
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0266
M
SINGOYE KILIBUCHE SINGOYE
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0267
M
SUNDAY JAMES BWILINDE
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0268
M
SWAHIBU SADICK MUSSA
28
IV
CIV-D HIST-D GEO-F E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-D CHEM-D BIO-D B/MATH-D
S1094/0269
M
SWAHIBU ABDUL MFUBUSA
26
IV
CIV-C HIST-D GEO-C KISW-D ENGL-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S1094/0270
M
SWEDI ZAIDI ALLY
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-F KISW-D ENGL-D PHY-X BIO-F B/MATH-D
S1094/0271
M
TATIZO GWAHABAYE MFUMYA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0272
M
TOFIQ ABDALLAH SHABANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F E/D/KIISLAMU-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0273
M
TRYPHONE JERAS NGAYAKA
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0274
M
YAHYA RAMADHANI KIGEZI
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D CHEM-D BIO-F B/MATH-F
S1094/0275
M
YASSIN A KIDEHE
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0276
M
YASSIN SEBABILI MTEME
26
IV
CIV-C HIST-D GEO-D E/D/KIISLAMU-D KISW-D ENGL-F CHEM-C BIO-D B/MATH-D COMM-D
S1094/0277
M
YOHANA BONIFACE SHABANI
35
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0278
M
ZACHARIA YAHAYA KISHOSHA
32
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-C ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0279
M
RAMADHANI SEIF HAMISI
*E
*E
---
S1094/0280
F
JUDITH RUKIGWA MAKOKO
33
IV
CIV-F HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-F BIO-F B/MATH-F
S1094/0281
M
STEVEN JAMES MUIGWE
29
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F


EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION
KIGOMA
TOTAL PASSED CANDIDATES
141
EXAMINATION CENTRE GPA
4.4843
CENTRE CATEGORY
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)
29/94
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)
1278/3196
EXAMINATION CENTRE DIVISIONS PERFORMANCE
REGIST
ABSENT
SAT
WITHHELD
NO-CA
CLEAN
DIV I
DIV II
DIV III
DIV IV
FAILED
281
3
278
1
0
277
1
5
14
121
136
EXAMINATION CENTRE SUBJECTS PERFORMANCE
CODE
SUBJECT NAME
REG
SAT
NO-CA
W/HD
CLEAN
PASS
GPA
REG/RANK
NAT/RANK
011
CIVICS
281
278
0
1
277
128
4.3935
34/101
1355/3686
012
HISTORY
281
278
0
1
277
95
4.5884
38/101
1486/3666
013
GEOGRAPHY
281
278
0
1
277
67
4.7437
40/101
1623/3683
015
ELIMU YA DINI YA KIISLAMU
128
124
0
1
123
46
4.4959
6/32
260/549
021
KISWAHILI
281
278
0
1
277
156
4.3105
40/101
1384/3686
022
ENGLISH LANGUAGE
281
278
0
1
277
76
4.6823
46/101
1656/3686
023
FRENCH
3
2
0
0
2
0
5.0000
8/8
75/78
025
ARABIC
6
6
0
0
6
5
3.1667
3/4
26/214
031
PHYSICS
28
27
0
0
27
21
3.5556
10/99
432/3298
032
CHEMISTRY
53
53
0
0
53
38
3.7925
11/101
679/3454
033
BIOLOGY
281
278
0
1
277
39
4.8267
56/101
2003/3683
041
BASIC MATHEMATICS
281
276
0
1
275
37
4.7927
38/101
1281/3686
061
COMMERCE
14
14
0
0
14
3
4.7857
9/15
417/692
062
BOOK-KEEPING
13
13
0
0
13
7
4.3846
9/15
372/685
 
Back
Top Bottom