Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kakurupuka huyo, ujuaji mwingi DeepPond kasema mwanae mwaka huu ndio yuko form two Mama Edina kamshukia jumla jumla, kwa maelekezo makali na kichambo mpenyezo.Kwani amekwambia hawezi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakurupuka huyo, ujuaji mwingi DeepPond kasema mwanae mwaka huu ndio yuko form two Mama Edina kamshukia jumla jumla, kwa maelekezo makali na kichambo mpenyezo.Kwani amekwambia hawezi!?
Edina kamvuruga huyoo .😂😂Kakurupuka huyo, ujuaji mwingi DeepPond kasema mwanae mwaka huu ndio yuko form two Mama Edina kamshukia jumla jumla, kwa maelekezo makali na kichambo mpenyezo.
Edina atakua yupo form twoEdina kamvuruga huyoo .😂😂
Mkuu utajuaje kwani ulikuwa unashinda naye? watoto wengi wanafanya mambo wawapo nje ya nyumbani ukiambiwa unaweza kumkataa.Mwanangu haba tabia za kibangebange
biological daughter?Nina binti mwaka huu form two,
Sijui Hali ya matokeo ya mwanangu ikoje[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ni Geographical daughterbiological daughter?
aaah,acha basiHapana ni Geographical daughter
NECTA IT wamechemsha matokeo ya kidato cha 2. Wangefuata mtindo wa Alfabet kulingana na majina ya shule kama walivyofanya miaka iliyopita. Mwaka huu wamechanganya tu, sijui hawakuwa na wataalam.View attachment 2468663
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 4, 2023 limetangaza matokeo ya kidato cha pili na darasa la nne mwaka 2022.
Bonyeza Link hapa kuangalia Matokeo ya Darasa la 4 >>> https://matokeo.necta.go.tz/sfna2022/sfna.htm
Bonyeza Link hapa kuangalia Matokeo ya Kidato cha Pili >>> https://matokeo.necta.go.tz/ftna2022/ftna.htm
Bonyeza hapa