NECTA kutangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2024 kesho

NECTA kutangaza matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2024 kesho

Mwanadiplomasia Mahiri

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
491
Reaction score
1,907
IMG_5100.jpeg
 
Bora watoe majibu, tumechoka kukaa nyumbani kusubiri matokeo.. Sijui nitapangiwa wapi
 
Waaow hongera yake in advance kujiamini ni mwanzo wa mafanikio
Hongera kwako me pia dogo kapiga pepa mwaka jana ( she is she).

Dogo anajiamini anasema atapata wani
 
Walikuwa wanasubiria uchaguzi wa Chadema Umalizike!

Nitamfikishia ujumbe huu mh. Mwenyekiti TUNDU LISU
 
Back
Top Bottom