NECTA kwa kushirikiana na serikali naona mnaenda kuizika rasmi elimu ya Tanzania

NECTA kwa kushirikiana na serikali naona mnaenda kuizika rasmi elimu ya Tanzania

Halafu pasipo kufikiria wanakuja kututangazia tu ufaulu darasa fulani umeshuka wanashindwa ku-mesmerize kuwa source ni wenyewe kwa kushindwa kuwa encourage walimu angalau wapate tumaini kwa kuona serikali inajali juhudi zao
 
Hilo ni tatizo,binafsi natamani wataalamu wetu hawa wangepewa hata posho kila mwezi,at least hata 100k.
NB:
Sitapeleka mwanangu St Kayumba za serikali😂😂
 
Nipo hapa Dodoma nakunywa bia yangu!.. nilikua Mbeya Iwata,,so stupid kwa kweli posho zimepungua badala ya kupanda hela ya kaz pia imeshuka badala ya kupanda yaan hela ya kazi maalumu ipo chini ya mshahara wangu
 
Wapo wengi nchini lakini wamezidi upole, uchawa na uoga wa hali ya juu.

Mtu anamuogopa mkuu wa shule kama mkuu wa nchi, huyo ataichallenge serikali!??. Akija afisa nani nani sijui basi siku hiyo walimu ni kupigana vikumbo kuingia madarasani.
 
Hebu jaribu kusema kwenye serikali Lawama iende wapi hasa. Ili tuboreshe uwezo wa kulaumiana..Nani Kanyima elimu na maslahi kipaumbele?. Ili tushauri avuliwe cheoView attachment 2470788
Hiki ni kihatarishi.... Hakika.... Hesabu za darasa la 4 ufaulu uko hivi... Vipi mitihani ya kuelekea chuo kikuu?? Nimefadhaika😥
 
Walimu wana stress na maisha magumu mno. Afu kada imeshushwa hadhi. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Akati ni kada muhimu kwa mustakabali wa nchi yetu baadae na kizazi kijacho.

Wahusika waww serious na wachukue hatua stahiki.
Haijashushwa hadhi, hadhi yao ilivyokuwa toka mwanzoni.

Tatizo ni kuwa watu wengi hawakuwa ma elimu hivyo kuwaona wao ndo welevu.

Chukua swali kampe mwalimu anayemfundisha mwanao
 
Walimu wa nchi hii wanaona raha sana kuburuzwa, kupuuzwa na kudhalilishwa. Kwanini hawapigi kelele?

Chama cha walimu kinawasaidiaje? Je wameshindwa hata kwenda kulalamika mahakama ya kazi?
Bujibuji,sababu ya CWT kutokuwa na msaada kwa walimu ni kuwa CWT Ina mfungamano na CCM .Wana uswahiba ambao ni hasara kwa mwalimu.Cwt haiwezi kuitisha mgomo,kuhamasisha walimu kudai haki,Wala kuleta shinikizo kwa serikali kwa sababu ya uswahiba uliopo.Hata mifumo ya uchaguzi ndani ya Cwt haina tofauti na ile ya CCM,ni rushwa,upendeleo na kujuana ndipo unapata nafasi.
 
Watu wa kwanza kuwalaumu ni walimu wenyewe, wanapenda ndio mana wanaonewa
 
Maoni yangu, kuboresha maisha ya waalimu kunaanza na mishahara yao, sio posho za mitihani. Wakati flani serikali inaona mbona mishahara ya waalimu inalingana na kada nyingine, utofauti ni kuwa kada nyingine wanaweza kuishi bila kutegemea mishahara. Mf dactari, nesi, taasisi za fedha, Askari wote Wana malipo ya ziada
Kwa kuwa waalimu hawana malipo ya ziada, mishahara yao ilitakiwa kuwa tofauti, au nao wapewe malipo ya ziada "allowance"
Shida waalimu ni wengi sana, serikali inaona ni mzigo mkubwa, haitekelezeki
 
Bado
Hilo ni tatizo,binafsi natamani wataalamu wetu hawa wangepewa hata posho kila mwezi,at least hata 100k.
NB:
Sitapeleka mwanangu St Kayumba za serikali😂😂
Bado kuna kaz kubwa ya kufanya,serk lazima iwajibike kwelikweli
 
Nipo hapa Dodoma nakunywa bia yangu!.. nilikua Mbeya Iwata,,so stupid kwa kweli posho zimepungua badala ya kupanda hela ya kaz pia imeshuka badala ya kupanda yaan hela ya kazi maalumu ipo chini ya mshahara wangu
Inasikitisja kwa kweli na inavunja morali kabisa ya kuwaandaa vijana wetu
 
Wapo wengi nchini lakini wamezidi upole, uchawa na uoga wa hali ya juu.

Mtu anamuogopa mkuu wa shule kama mkuu wa nchi, huyo ataichallenge serikali!??. Akija afisa nani nani sijui basi siku hiyo walimu ni kupigana vikumbo kuingia madarasani.
Inatakiwa waanze kutambua wao ni akina nani na umuhim wao katika taifa
 
Suala la malipo hilo linakuwa ni bajeti ya serikali na si baraza la mitihani sababu hata viongozi waandamizi wa baraza wanasubiri malipo yao kutoka serikalini sababu serikali ndiyo mlipaji mkuu.

Kingine tambua walimu wana roho mbaya kuliko kuliko watumishi wote duniani. Inavyoonekana na wewe ni mwalimu sasa waliona wakikwambia wamekunja m2+ utawaletea kiwingu cha njaa.
Subutu
 
Ni kwamba mambo yalianza kuharibika awamu ya tano pale ambapo kila kitu kilikuwa ni uzalendo. Wakapenyeza wazalendo kwenda kusahihisha mitihani yaani walimu makada aka matanga ambao wao kila kitu ni ndio. Hapo ndipo mambo yalipoanza kubadilika.
 
Wapo wengi nchini lakini wamezidi upole, uchawa na uoga wa hali ya juu.

Mtu anamuogopa mkuu wa shule kama mkuu wa nchi, huyo ataichallenge serikali!??. Akija afisa nani nani sijui basi siku hiyo walimu ni kupigana vikumbo kuingia madarasani.
Ni mfanyakazi gani wa Serikali aliwahi pigania maslahi yake akapata kama anavyotaka?
 
Maoni yangu, kuboresha maisha ya waalimu kunaanza na mishahara yao, sio posho za mitihani. Wakati flani serikali inaona mbona mishahara ya waalimu inalingana na kada nyingine, utofauti ni kuwa kada nyingine wanaweza kuishi bila kutegemea mishahara. Mf dactari, nesi, taasisi za fedha, Askari wote Wana malipo ya ziada
Kwa kuwa waalimu hawana malipo ya ziada, mishahara yao ilitakiwa kuwa tofauti, au nao wapewe malipo ya ziada "allowance"
Shida waalimu ni wengi sana, serikali inaona ni mzigo mkubwa, haitekelezeki
Inatekelezeka vizuri,siasa zinaiharibu nchi.
Ni bora tungejikita kuboresha miundombinu ya shule zetu&maslahi ya wataalamu wetu,kabla ya kutoa elimu bure.
Cheki shule za private&hizi za serikali,kuna tofauti katika miundombinu&maslahi kwa wafanyakazi wao.
Tunavuna tunachopanda.
 
Ni kwamba mambo yalianza kuharibika awamu ya tano pale ambapo kila kitu kilikuwa ni uzalendo. Wakapenyeza wazalendo kwenda kusahihisha mitihani yaani walimu makada aka matanga ambao wao kila kitu ni ndio. Hapo ndipo mambo yalipoanza kubadilika.
Linaookuja suala la kutimiza wajibu bas neno uzalendo huwa unatangulizwa hasa kwa walimu pekeee

Kwan huo uzalendo haupo kwa wanajeshi na kada nyingine

Hebu waalimu waache kufanyiwa haya ni hatar sn kwa taifa
 
Shida ni kwamba hao hao walimu wanatumika sn kipindi cha uchaguz kuiba kura...
 
Back
Top Bottom