DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hii ngoma ni bodaboda na KE students plus wao kwa wao kuhusu waalimu nilishihudia wanapigwa mawe na students .Umalaya wa kuchukuana wanafunzi kwa wanafunzi? au walimu wa kiume na wakike?
Mkuu subiri form four ndo utaona mziki wakikosa zero 100+ sijuiForm Two Temeke Secondary results
Div one 10 two 20 three 32 four 329 na zero 94. Umekadiria vizuri.
Anazunguka Mbuyu , kumbe anangojea matokeo yake.FTNA is out kazi kwake kama ni QT
Ustawi wa jamii, uongozi wa shule, serikali nk, wapo wapi? Wakamateni hao Bodaboda.Hii ngoma ni bodaboda na KE students plus wao kwa wao kuhusu waalimu nilishihudia wanapigwa mawe na students .
Wakikosa division zero 100 naomba nipewe life ban au mniite Mbwa.
Naomba matokeo ya-kitoka Endapo , Temeke wakikosa zero mia 100+ mniite .......nimekaa pale......Mwaka 2022 yatajirudia ya 2012.
Kidato cha nne huenda wakatusua zero og na foo matata za 32 zaidi ya robo tatu kwa nchi nzima.
Matoto yanasoma somo la kiswahili tu.
Pole mzazi naona unatetemeka kwa hasira, kwa kifupi ni kwamba, kufaulu mtihani ni matokeo ya combination nzuri kati ya mtoto kichwan, walimu wazuri na malezi ya mzazi.Kazi ya mwalimu ni kufaulisha achemi visingizio walimu.
Iweje St. Framcis, ifaulishe wote point 7 halafu shule unayomiliki wakungute zero zaidi ya nusu ya dararsa.
Acha kuajiri walimu ambao ni cheap labour ambao ni vilaza. Ajiri walimu competent na uwalipe mishahara.
Kufaulisga ni investment. Usitipie mzaxi mzigo wako wa kufaulisha, mzazi haingii darasani na wala shuleni haji.
Huna laboratory utafaulishaje na kwa nini tusikuite mbabaishaji na tuhamishe watotot wetu.
Huna library kwa nini tusikuite shuke ya kibanaishaji.
Shule ysko ina mazingira machafu vyoo vichafu kwa nini tudikuite mabaishaji.
Walimu wako wakibanwa madwali na wanafunzi nadala ya kujibu concept unaishia kuwachapa eti haeana adabu kumbe swali limekugonga.
Shule ina chakuka hafifu kisicho na ladha watoto afya ni mgogoro kwa nini tudikuite shule ya kibabaishaji.
Shule yako walimu hujawalipa miezi miwili na wanagunzi wanajua hivuo kwa nini usiitwe mbabaishaji na kilaza.
Ubanaishaji huu unakomeshwa na matokro ili tukomboe watoto wetu kwa kuziacha shule hizo zijigie kwa kukosa wanagunzi.
Samahani kwa kukuuliza...
Je uliishawahi kuongoza taasisi yeyote au kupata cheo atacha ubalozi was nyumba kumi??
Mimi sifundishi na Sina kipawa hicho ila siwezi mtusi Wala kumkashifu mwl kisa watoto wangu wameferKutojua hoja iliyopo mezani ni ukilaza kama wa wanafunzi mnaosababisha wafeli.
Wanafunzi wamefanya paper mwezi November.
Matokeo ni muhimu sana muda huu. Kwa nin?
Tunataka tuhamasishe watoto wasiende kwenye shule zilizovurunda na tuhamishe watoto wetu wasijuinge kwenye shule hizo.
Hivyo NECTA harakisheni kutoa matokeo ili aibu izikumbe shuke za kibabaishaji zinzopotozea muda wa watoyo wetu wakati zinaishia kefelisha watoto hao.
Yatatoka Leo muda sio mrefu ujaoNECTA,
Leteni matokeo ya form 4
Link ya yule jamaa haifunguki, sasa sjui ni Tecno yangu hii?[emoji1787]Tayari yametoka wahusika mkaangalie
Inafunguka KiongoziLink ya yule jamaa haifunguki, sasa sjui ni Tecno yangu hii?[emoji1787]
Naomba matokeo ya-kitoka Endapo , Temeke wakikosa zero mia 100+ mniite .......nimekaa pale......
Temeke ya HAYA LAND tupate matokeo yake tafadhali.
Kuna changamoto gan hii shule mbona matokeo yao mabaya namna hii.
Ila nyie kuna shule jamaniKuna changamoto gan hii shule mbona matokeo yao mabaya namna hii.
Alisema ziro zitakuwa zaidi ya 100, Ni kweli wametoa ziro 133. Alitabiri vyema.Temeke ya HAYA LAND tupate matokeo yake tafadhali.