hali mbaya
Member
- Jan 7, 2014
- 79
- 22
Ni mwezi wa pili baada ya matokeo ya kidato cha nne CSEE 2014 kutoka. NECTA wanasubiri nini kutoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa ili wazazi wajiandae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kijana necta kazi yao walishamaliza cku nyingi wao wanahusika na mitihani tuu. kazi ya kupanga wanafunzi kidato cha tano waulize TAMISEMI na MOEVT
jibu ni hadi mwezi wa 7