Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Habar wakuu!
Kwa habar niliyopata kutoka kwa mmoja wa wasahihishaji ni kwamba huko necta muda huu hasa huu mwezi wa 11 Wa usahihishaji mitihani kuna uzembe mkubwa sana, hasa wanafuzni wa PC ndio kuburuzwa yan mpaka huruma na sijui elimu yetu tunaipeleka wapi yani watu mmekosa utu kabisa!
mshikaji anapiga pepa za QT, ndio maana ka panicPresha
Habar wakuu!
Kwa habar niliyopata kutoka kwa mmoja wa wasahihishaji ni kwamba huko necta muda huu hasa huu mwezi wa 11 Wa usahihishaji mitihani kuna uzembe mkubwa sana, hasa wanafuzni wa PC ndio kuburuzwa yan mpaka huruma na sijui elimu yetu tunaipeleka wapi yani watu mmekosa utu kabisa!