NECTA , ni kweli utavuna ulichopanda ?

Mkuu una uhakika na hicho ulichokisema hapo juu. Angalia jukwaa hili sio pahala pa kupandikiza chuki na maneno ya kubuni. Jukwaaa hili linasomwa na watu wengi kama ilivyo kwa magazeti ni vyema taarifa utakazoweka hapa ziwe ni zile ulizo na uhakika nazo. Habari unazoweza kuzitetea pindi unapotakiwa kufanya hivyo.

Vinginevyo uliza wenzako humu watakuelewesha kwani wapo wanaofahamu watakusaidia.
 
You might had over confidence which a great poison to examinations
 

Labda wewe ndiyo ueleweshwe unadhani mi naamka tu nakuandika?. Kwani wewe hujawahi kuona intake 2 za form one? kwamba wengine wanachukuliwa januari ile ile na wengine unasikia mwezi aprili ndiyo wanaambiwa wamefaulu wakajiunge kidato cha kwanza?. Pia kama ulikuwa hujuwi mitihani ya huku inatungwa ili watu wengi wafeli na siyo wafaulu kwakuwa vyumba vya madarasa havitoshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…