Sango Ochwera
Member
- Mar 20, 2013
- 98
- 26
Ikiwa ni siku mbili tangu kidato cha nne kuanza mitihani yao ya Taifa, wilayani Rorya malipo ya wasimamizi wa mitihani hiyo bado ni kitendawili.Akifunga semina elekezi ya wasimamizi wa mitihani hiyo Novemba 2, 2013 katika ukumbi wa CCM Utegi,Afisa Elimu Sekondari wilaya ya Rorya aliwaahidi walimu kuwalipa fedha zao kati ya Jumatatu na Jumanne ambapo hadi sasa hakuna taarifa yoyote juu ya malipo hayo ya wasimamizi.
Natambua wazi umahiri wa serikali katika kulimbikiza kwa makusudi madeni ya walimu,lakini kwa hili tunaiomba serkali kupitia NECTA itulipe pesa zetu! Hii si kazi ya kujitolea.Tambueni kuwa kazi hii ni ya risk kubwa,hivyo kuendelea kukalia haki zetu huku mkitutaka kuendelea na kazi ni manyanyaso yasiyoweza kuvumiliwa hata kidogo!
Natambua wazi umahiri wa serikali katika kulimbikiza kwa makusudi madeni ya walimu,lakini kwa hili tunaiomba serkali kupitia NECTA itulipe pesa zetu! Hii si kazi ya kujitolea.Tambueni kuwa kazi hii ni ya risk kubwa,hivyo kuendelea kukalia haki zetu huku mkitutaka kuendelea na kazi ni manyanyaso yasiyoweza kuvumiliwa hata kidogo!