Sijaona kosa la NECTA kuhusiana na failure ya CSEE 2012 kwa sababu zifuatazo;
1. Mtihani ulikuwa standard
2. Usahihishaji ulifanywa na walimu wenyewe
3. Necta waligrade matokeo kwa viwango vya kawaida
4. Baada ya kuridhishwa na mwenendo mzima huo wa uandaaji wa matokeo, waziri aliyatangaza kwa watanzania
Nashindwa kuelewa kwa nini lawama zinatupiwa NECTA wakati wizara ndo wanahusika na uandaaji wa wanafunz hivyo kufeli ni kwa sabab ya mandaalizi mabovu na sio kulalamikia grading
Hebu tujiulize;
1. Kwa nini wizara wanawarushia mpira NECTA wakat waziri ndo alitangaza matokeo?
2. Mwanafunzi kaenda form 1 kisiasa hajui kusoma na kuandika, halaf form 2 hakuna mtihani. Je, huyu naye tustandardize ili apate division IV?
3. Kwa staili hii tunaipeleka wapi nchi yetu?
Fikra pevu zinahitajika sana
nawasilisha mada wana JF
1. Mtihani ulikuwa standard
2. Usahihishaji ulifanywa na walimu wenyewe
3. Necta waligrade matokeo kwa viwango vya kawaida
4. Baada ya kuridhishwa na mwenendo mzima huo wa uandaaji wa matokeo, waziri aliyatangaza kwa watanzania
Nashindwa kuelewa kwa nini lawama zinatupiwa NECTA wakati wizara ndo wanahusika na uandaaji wa wanafunz hivyo kufeli ni kwa sabab ya mandaalizi mabovu na sio kulalamikia grading
Hebu tujiulize;
1. Kwa nini wizara wanawarushia mpira NECTA wakat waziri ndo alitangaza matokeo?
2. Mwanafunzi kaenda form 1 kisiasa hajui kusoma na kuandika, halaf form 2 hakuna mtihani. Je, huyu naye tustandardize ili apate division IV?
3. Kwa staili hii tunaipeleka wapi nchi yetu?
Fikra pevu zinahitajika sana
nawasilisha mada wana JF