Necta yaleyaleeeee ya mwaka 2012

Necta yaleyaleeeee ya mwaka 2012

NZELLA

Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
37
Reaction score
4
Wadau wa JF nachelea kusema kusema kuwa NECTA wameturudisha kulekule mwaka 2012.Namaanisha kuwa kuna watoto wamepata point zinalofanana lakini wanatofautiana daraja yaani DIVISION Mfano katika shule X kuna wanafunzi 4 wamepata POINT 41 na kuwekewa DIVISION 4 na wanafunzi wengine kadhaa wenye daraja hilohilo lakini wamewekewa DIVISION 0.So what TANZANIA ARE WE MAKING?
WATANZANIA HEBU TUJADILIANE THREAD HII TUPATE KUELEWA.
NAOMBA KUWAKILISHA!

 
Kuna mtu ana point 20 kwa masomo 7 kawekewa 27 div 3
 
Grading iliyotumika hii hapa
a=1, b+=2,b=3,c=4,d=5,e=6 na f=7
halafu division
div.i ranges from 7-17
div.ii ranges from 18-24
div.iii ranges from 25-33
div.iv ranges from 34-43
div.0 ranges from 44-49
 
Grading iliyotumika hii hapa
a=1, b+=2,b=3,c=4,d=5,e=6 na f=7
halafu division
div.i ranges from 7-17
div.ii ranges from 18-24
div.iii ranges from 25-33
div.iv ranges from 34-43
div.0 ranges from 44-49

Mi wangu ana point 33 ila kawekewa div iv so which is which?
 
Mkuu haiwezekani wawe wametumia grading system hii. Ukiangalia wenye point 33 wana Div IV, wapo wengi wenye point 41-43 wana 0 wakati wengine wenye pointi 44-46 wana Div IV badala ya 0 kama mwongozo huo unavyoelekeza. Ufafanuzi unahitajika
Grading iliyotumika hii hapa
a=1, b+=2,b=3,c=4,d=5,e=6 na f=7
halafu division
div.i ranges from 7-17
div.ii ranges from 18-24
div.iii ranges from 25-33
div.iv ranges from 34-43
div.0 ranges from 44-49
 
Grading iliyotumika hii hapa
a=1, b+=2,b=3,c=4,d=5,e=6 na f=7
halafu division
div.i ranges from 7-17
div.ii ranges from 18-24
div.iii ranges from 25-33
div.iv ranges from 34-43
div.0 ranges from 44-49

Si kweli, wengi wenye point 32 wamewekewa IV, inakuaje
 
Pia kuna wenye point 43 wana zero na wengine IV same points! Bado cjaelewa hapa!
 
Back
Top Bottom