NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne 2021

NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne 2021

Wanafunzi kumi (10) bora kitaifa kwa mwaka 2021/2022 ni kama ifuatavyo;

1. Consolata Prosper Lubuva - St. Francis
2. Bhutoi Ernest Nkaganza - St. Francis
3. Wilihelmina Steven Mijarifu - St. Francis
4. Glory John Mbele - St. Francis
5. Mary George Ngoso - St. Francis
6. Holly Beda Lyimo - Bright Future Girls
7. Blandina Karen Chiwawa - St. Francis
8. Imam Suleiman - Feza Boys
9. Mfaume Hamisi Madili - Iliboru
10. Clara Straton Assenga - St. Francis

Moderator pandisha juu hapo.
 
Hawa madogo niliwatungua series 8 za B.Math hakuna aliyewah kupata B ni C ndo zilikiwa marks zao.....na uwezo wap na uelewa wao wa mambo wakiulza maswali wakati wa correction na matokeo ya haviendani kabisa ......nikikumbuka one ya kumi ya enz zetu sio poa hata one ya kumi na saba kipind kile ulikuwa mtu uko makini sana kichwani
 
Hawa madogo niliwatungua series 8 za B.Math hakuna aliyewah kupata B ni C ndo zilikiwa marks zao.....na uwezo wap na uelewa wao wa mambo wakiulza maswali wakati wa correction na matokeo ya haviendani kabisa ......nikikumbuka one ya kumi ya enz zetu sio poa hata one ya kumi na saba kipind kile ulikuwa mtu uko makini sana kichwani
Nimekuelewa kidogo sana mkuu.
 
Aisee hii elimu yetu leo rasmi ndo naweza sema imeshukaa aisee daaah wale madogo wa kupata one za 10 mbili,11,12,13 na 15 aisee hili bomu la mbeleni huko ni balaa
Aisee
 
Back
Top Bottom