Damdeok
Member
- Dec 22, 2014
- 39
- 17
Kaka nashukuru sana tena sana,matokeo ya dogo nimeyaona kapata Two ya 20
Pamoja sana kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka nashukuru sana tena sana,matokeo ya dogo nimeyaona kapata Two ya 20
Mwenye matokeo ya nyumbu secondary plz
duh hii shule ni kimeo
Damdeok na mm nipatie link yakucheki moja kwa moja matokeo ya MZUMBE secondary school..Mkuu [HASHTAG]#Hajto[/HASHTAG] ingia kwenye hii link itakupeleka direct shulen kwako.
ukifanikiwa utujuze
Hiyo command naijua sana na ndio ya kwanza kuitumia lakini kanapokuja kale ka box cha kuandika ukianza kuandika herufi yoyote , inatokea rangi nyekundu ikiwa na maana hakuna herufi ya namna hiyo . Labda kitu ambacho sasa naweza kukubali kama wewe imekubali komand hiyo basi tatizo ni brawzer ya maxthon ninayoitumia . Yamkini ningeyafungua kwa mozila, crome au internet explorer ingekubali hiyo commandwe ndo mshamba ukifungua shule control +f andika jina then enter
Damdeok na mm nipatie link yakucheki moja kwa moja matokeo ya MZUMBE secondary school..
mi natumia mozilla imekubali aiseee may be browserHiyo command naijua sana na ndio ya kwanza kuitumia lakini kanapokuja kale ka box cha kuandika ukianza kuandika herufi yoyote , inatokea rangi nyekundu ikiwa na maana hakuna herufi ya namna hiyo . Labda kitu ambacho sasa naweza kukubali kama wewe imekubali komand hiyo basi tatizo ni brawzer ya maxthon ninayoitumia . Yamkini ningeyafungua kwa mozila, crome au internet explorer ingekubali hiyo command
Mkuu asante nimeyacheki....dogo langu kakung'uta A zote Tisa...
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Naweza kupata matokeo kujua ni shule zipi zimekuwa za kwanza mpaka kumi kitaifa.Please mwenye hiyo list naimba aiweke hapa tuone.Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya upimaji wa darasa nne na kidato cha pili iliyofanyika Novemba 22 na 23 mwaka jana, huku idadi kubwa ya wanafunzi wakifanya vyema katika mitihani hiyo.
Akitangaza matokeo hayo leo Jumatatu Januari 8, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema jumla ya wanafunzi 1,086,156 waliofanya mtihani wa darasa la nne wamefaulu kati ya 1,158,444 waliofanya upimaji huo.
Amesema wanafunzi hao wamefaulu kwa kupata alama zenye madaraja ya A,B,C na D wakati wanafunzi 72,288 sawa na asilimilia 6.24 wamepata alama za daraja E, ambao ni ufaulu usioridhisha.
Kuhusu matokea ya upimaji wa kidato cha pili, Dk Msonde amesema jumla ya wanafunzi 433,453 sawa na asilimia 82.32 kati ya 486,742 waliosajiliwa kufanya mtihani huo wamepata ujuzi wa maarifa ya kuwawezesha kuendelea na kidato cha tatu.
Dk Msonde alisema wanafunzi wa kidato cha pili 51,807 sawa na asilimia 10.68 wameshindwa kupata alama za kuwawezesha kuendelea na kidato cha tatu.
Chanzo: Mwananchi
Kwa matokeo ya kidato cha pili, bofya link hapo chini
MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2017
Kwa matokeo ya darasa la nne, bofya link hapo chini
MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2017