NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, 2017, 51,807 wakwama kuendelea kidato cha 3

Mkuu [HASHTAG]#Hajto[/HASHTAG] ingia kwenye hii link itakupeleka direct shulen kwako.

ukifanikiwa utujuze
Damdeok na mm nipatie link yakucheki moja kwa moja matokeo ya MZUMBE secondary school..
 
we ndo mshamba ukifungua shule control +f andika jina then enter
Hiyo command naijua sana na ndio ya kwanza kuitumia lakini kanapokuja kale ka box cha kuandika ukianza kuandika herufi yoyote , inatokea rangi nyekundu ikiwa na maana hakuna herufi ya namna hiyo . Labda kitu ambacho sasa naweza kukubali kama wewe imekubali komand hiyo basi tatizo ni brawzer ya maxthon ninayoitumia . Yamkini ningeyafungua kwa mozila, crome au internet explorer ingekubali hiyo command
 
mi natumia mozilla imekubali aiseee may be browser
 

Attachments

  • kweli.jpg
    154.9 KB · Views: 188
Haka kawebsite ka necta mbona ni chenga? tz hamna hata kimoja tunachoweza?
 
Naweza kupata matokeo kujua ni shule zipi zimekuwa za kwanza mpaka kumi kitaifa.Please mwenye hiyo list naimba aiweke hapa tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…