NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

Nimeona huu mkoa umekua wa kwanza kwa ubora wa ufaulu wa mitihani ya Form IV lakini si hivyo tu bali una shule nyingi zaidi kuliko mikoa mingine yoyote ile Tanzania. Mkoa wa Kilimanjaro una shule 314 za sekondari ukifuatiwa na Dar es Salaam wenye shule 299.
 

Attachments

Or course tunasoma,na kusomesha. Hatakama hampendi,
Tupe data za mtwara na singida
 
Wangeweka mfumo wa majina hii ya kuweka namba kwenye matokeo siipendi

Tengeneza huo mfumo wa kuweka majina kwenye matokeo ya ukoo wenu. Otherwise, sisi wananchi wa kawaida hatuna haja ya kujua mwanao au mtoto wa ndugu/rafiki/shangazi/bibi/babu yako amefaulu kwa kiwango gani. Kwa ufupi, haituhusu kabisa.
 
Tengeneza huo mfumo wa kuweka majina kwenye matokeo ya ukoo wenu. Otherwise, sisi wananchi wa kawaida hatuna haja ya kujua mwanao au mtoto wa ndugu/rafiki/shangazi/bibi/babu yako amefaulu kwa kiwango gani. Kwa ufupi, haituhusu kabisa.
Si kwa povu hili, kutakuwa na tatizo mahali, yaani matokeo ni kama mtu kuvua nguo?
 
Back
Top Bottom