NECTA yatangaza upya Matokeo ya Kidato cha Nne 2012

NECTA yatangaza upya Matokeo ya Kidato cha Nne 2012

aisee naona kuna watu marks zao zimepungua maajabu hayaishi tanzania
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, kwa wale vijana wa kidato cha 4;

Kupata matokeo, tembelea -> http://www.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/olevel.htm
[TABLE="width: 80%"]
[TR]
[TD]Network Error (tcp_error)

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]A communication error occurred: "Operation timed out"[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The Web Server may be down, too busy, or experiencing other problems preventing it from responding to requests. You may wish to try again at a later time.[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
 
Ukweli ni kwamba matokeo ya kidato cha nne yako hadharani yanatangangazwa mchana huu wizarani rafikiangu mwandishi wa gazeti la mwananchi amenipa hiyo tipu kwamba wameitwa kupewa hayo. Na habari alizopata ambazo bado si za uhakika ya kidato cha sita nayo ni leoleo au kesho mapema ila Waziri ameombwa asitangaze ya kidato cha sita bali baraza la mitihani lenyewe.

Kweli matokeo yametangazwa na wazili wa elimu,fungueni hiyo link http://www.necta.go.tz/matokeo_html_...012/olevel.htm yameshazagaa mitaani!
 
kweli mkuu hapana tofauti yoyote ndo yale yale ya mwanzo wanazuga tu hawaa
 
Zilikuwa mbwembwe tu,,... Mambo ni yaleyale maana kama mtu alikuwa na poit 9 imekuwa 8 au mwingine alikuwa na 35 imekuwa 34... Kwa kifupi elimu ni mbovu... Na madogo hawasomi wala hawana uchungu na maisha yao.. Full masihala....
 
Zilikuwa mbwembwe tu,,... Mambo ni yaleyale maana kama mtu alikuwa na poit 9 imekuwa 8 au mwingine alikuwa na 35 imekuwa 34... Kwa kifupi elimu ni mbovu... Na madogo hawasomi wala hawana uchungu na maisha yao.. Full masihala....
kuna utofauti mkuu,
mtu alikuwa na ponti 34,
na sasa kapata 33,
ni nafuu, ana cheti huyo. mwenye 34 hana.
 
kuna utofauti mkuu,
mtu alikuwa na ponti 34,
na sasa kapata 33,
ni nafuu, ana cheti huyo. Mwenye 34 hana.

tehhhh
haya mkuu, sasa 33 anaenda wapi mkuu.. Bado ni mzigo tu kwa familia....

Pamoja
 
Zilikuwa mbwembwe tu,,... Mambo ni yaleyale maana kama mtu alikuwa na poit 9 imekuwa 8 au mwingine alikuwa na 35 imekuwa 34... Kwa kifupi elimu ni mbovu... Na madogo hawasomi wala hawana uchungu na maisha yao.. Full masihala....

Watoto wanaandika (xatha,coz,cjui,xn, thnx) unategemea hapo kiingereza na kiswahili watafaulu?
 
Back
Top Bottom