Hebu chukua muda kidogo ufuate link hii na kuangalia namba s.1197/0173 uone kama kuna Bookkeeping au commerce.
https://www.jamiiforums.com/matokeo2012/data/s1197.htm
Mwanaukweli uko makini sana na una base kwenye ukweli siku zote, wewe ni moja ya Asset muhimu za hapa JF.Uongo wa kwanza huu hapa:
"Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya Arts.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa".
Matokeo yanayoonekana mtandaoni ni:
[TABLE="class: cms_table, width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S1197/0173[/TD]
[TD="width: 4%"]M[/TD]
[TD="width: 6%"]34[/TD]
[TD="width: 4%"]FLD[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Napata sababu za kutilia mashaka tuhuma za Mwl. Bujugo.
Atalalamika vipi wakati kapendelewa kupita kiasi kwa mujibu wa tuhuma za Bujugo? Hakufanya mtihani lakini kapata 3...atalalamika nini sasa?Nawashauri muwe na utaratibu wa kujiridhisha na habari kabla ya kuiamini. We umemsikia Humphrey Akilalamika?
Atalalamika vipi wakati kapendelewa kupita kiasi kwa mujibu wa tuhuma za Bujugo? Hakufanya mtihani lakini kapata 3...atalalamika nini sasa?
Wewe tangu asubuhi ya leo,unachanganya madesa tu. Sasa hapa unazungumziwa mpira kweli hapa? Acha fujo...watu wanajdili mustakabali wa Taifa kielimujamani wandugu samahani hivi leo UEFA champion kuna mechi gani kali? please naomba mnijibu?
Inawezekana pia sio Bujugo ni hawa waandishi wetu wanakurupuka kuandika kwenye magazeti bila kuafanya utafiti, kwa nini hao waandishi hawakuangalia kwenye mtandao kabla ya kupublish gazeti lao?Hapo jamaa amecheza na MBOGO aliyejeruhiwa na zero 240,900...
Watamdaka kama mwewe anavyodaka vifaranga...
ila mkuu naona umesahau slogan yetu hapa jf "where we dare to talk openly"Wewe tangu asubuhi ya leo,unachanganya madesa tu. Sasa hapa unazungumziwa mpira kweli hapa? Acha fujo...watu wanajdili mustakabali wa Taifa kielimu
Mkuu, namba inayotajwa kuwa imewekewa masomo ya bookkeeping na commerce wakati mtahiniwa hakufanya ni S.1197/0173. Je ni kweli kuwa matokeo ya S.1197/0173 yana B/Keeping na Commerce?Mbona zipo nyingi tu mkuu, mf. S1197/0181 M 31 IV
CIV-D HIST-F GEO-F
KISW-D ENGL-D BIO-D B/
MATH-F COMM-F B/
KEEPING-F
Yes,we dare to talk openly on a particular issues in a thread.We are not joking here...our education is neither trivial nor immaterial. It needs serious people to put serious comments. Kindly,come back to topic!ila mkuu naona umesahau slogan yetu hapa jf "where we dare to talk openly"
thank you for clarification of our slogan! back to topic,mimi binafsi nashauri necta iachwe ifanye kazi zake as autonomous institution ,wanasiasa (kama mr bujogo the owner of green acres schools and kinondoni deputy mayor)wasipewe nafasi ya kuingilia chombo hiki! mimi naamini NECTA ni moja ya chombo makini sana kilichobakia nchini tukipe nafasi ilikiweze kutuletea maaendeleo ya taifa!Yes,we dare to talk openly on a particular issues in a thread.We are not joking here...our education is neither trivial nor immaterial. It needs serious people to put serious comments. Kindly,come back to topic!
Now,you are talkingthank you for clarification of our slogan! back to topic,mimi binafsi nashauri necta iachwe ifanye kazi zake as autonomous institution ,wanasiasa (kama mr bujogo the owner of green acres schools and kinondoni deputy mayor)wasipewe nafasi ya kuingilia chombo hiki! mimi naamini NECTA ni moja ya chombo makini sana kilichobakia nchini tukipe nafasi ilikiweze kutuletea maaendeleo ya taifa!
Imethibitishwa kutoka NECTA kwamba mkuu wa shule wa Green acres aliitwa NECTA ili kuprove kile ambacho kimesema na mkurugenzi wake, kwa kupitia matokeo ya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine, na imebainika kwamba mkurugenzi huyo alitoa taarifa za kutungwa. Kwa hiyo NECTA imewaagiza wanasheria wake waandae kesi, tayari kwa kumpeleka mahakamani mkurugenzi wa Green acres.Uongo wa kwanza huu hapa:
"Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts'.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa".
Matokeo yanayoonekana mtandaoni ni:
[TABLE="class: cms_table, width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S1197/0173[/TD]
[TD="width: 4%"]M[/TD]
[TD="width: 6%"]34[/TD]
[TD="width: 4%"]FLD[/TD]
[TD="width: 58%"]CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F LIT ENG-F BIO-F B/MATH-F[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Napata sababu za kutilia mashaka tuhuma za Mwl. Bujugo.
jamani wandugu samahani hivi leo UEFA champion kuna mechi gani kali? please naomba mnijibu?
Imethibitishwa kutoka NECTA kwamba mkuu wa shule wa Green acres aliitwa NECTA ili kuprove kile ambacho kimesema na mkurugenzi wake, kwa kupitia matokeo ya mwanafunzi mmoja baada ya mwingine, na imebainika kwamba mkurugenzi huyo alitoa taarifa za kutungwa. Kwa hiyo NECTA imewaagiza wanasheria wake waandae kesi, tayari kwa kumpeleka mahakamani mkurugenzi wa Green acres.
Hapana...nadhani kunakitu kinataka kufanywa ili apone Kawambwa kutoka kwenye kadhia hii!Mambo ya kukurupuka wakati mwingine sio mazuri pengine aliambiwa na mke wake :A S shade:
Je kama ulikuwa na Div. 0, utapata ngapi?????? Kwa kashfa hii, nashauri NECTA wasahihishe mitihani yote upya kwa gharama zao!!!!!!