Need a girl friend

Need a girl friend

Bob Big

New Member
Joined
Mar 4, 2011
Posts
2
Reaction score
0
Hellow...
Nina umri wa miaka 31 naishi rocky city (Mwanza),Nahitaji girl friend wa Kiarabu au kihindi ambaye anaishi Tanzania,umri 20-30. Ambaye yuko tayari na serious tuwasiliane 0777 227972. Text sms zitajibiwa pia.
Karibu...
 
Hellow...
Nina umri wa miaka 31 naishi rocky city (Mwanza),Nahitaji girl friend wa Kiarabu au kihindi ambaye anaishi Tanzania,umri 20-30. Ambaye yuko tayari na serious tuwasiliane 0777 227972. Text sms zitajibiwa pia.
Karibu...
Dah...........haya bana
 
i see kwani Mwanza hakuna wahindi ama waarabu ??
 
Hellow...
Nina umri wa miaka 31 naishi rocky city (Mwanza),Nahitaji girl friend wa Kiarabu au kihindi ambaye anaishi Tanzania,umri 20-30. Ambaye yuko tayari na serious tuwasiliane 0777 227972. Text sms zitajibiwa pia.
Karibu...

Napata picha kwamba anataka aonje mabinti wa kihindi na wa kiarabu
 
kabla watu hatuja anza kutuma maombi naomba nawe ujitamburishe ya kuwa hizo sifa ulizoziandika nawewe unazo! au ni ubaguzi wa rangi ndo unajiintroduce!. mie ningependelea ungeandika pale kwenye topic ungeandika hivi `I need a girlfriend mwenye asili ya kihindi au....................... (rangi ambazo unazihitaji).

hivi ulivyoandika utawapotezea muda watu ambao hawana sifa ya kuwa girl friend zako. ukitaka kujuwa uchungu wa kupotezewa muda wakati huhitajiki muulize samweli sitta alijisikiaje pale alipoambiwa awamu hii uspika ni zamu ya mwanamke!.
 
Mkuu niko India hivyo ni PM tu ili nikupostie kamoja. Utatuma nauli tu na umpokee Mwalimu Nyerere Airport. Kanataka sana watanzania na kuja Tanzania.
 
Mimi hapa muhindi mchanganyiko na albino.
 
wakaka mkianza hizo sisi waafrika tutaolewa na wanani?
 
Watu wengine kwa kujilipua!! Haya bwana kila la heri...
 
Mimi simshangai lazima nayeye atakua mwarabu au mwihind ndo mana anawatafuta. Sihuwaga wanaoana wao kwa wao??
 
Hellow...
Nina umri wa miaka 31 naishi rocky city (Mwanza),Nahitaji girl friend wa Kiarabu au kihindi ambaye anaishi Tanzania,umri 20-30. Ambaye yuko tayari na serious tuwasiliane 0777 227972. Text sms zitajibiwa pia.
Karibu...

Dah,umekuja kwa kasi kinehe!
 
Mkuu niko India hivyo ni PM tu ili nikupostie kamoja. Utatuma nauli tu na umpokee Mwalimu Nyerere Airport. Kanataka sana watanzania na kuja Tanzania.

Hahahahaha,yeah safi sana inabidi aanze kuandaa hela ya nauli mapemaa
 
Mkuu niko India hivyo ni PM tu ili nikupostie kamoja. Utatuma nauli tu na umpokee Mwalimu Nyerere Airport. Kanataka sana watanzania na kuja Tanzania.

Hahahahaha,yeah safi sana inabidi aanze kuandaa hela ya nauli mapemaa
 
nenda jamaat, wahindi na waarabu si member wa JF wamedanganywa kuwa Jf ni ya CDM
 
Mkuu niko India hivyo ni PM tu ili nikupostie kamoja. Utatuma nauli tu na umpokee Mwalimu Nyerere Airport. Kanataka sana watanzania na kuja Tanzania.

watu wamepinda duh
 
Back
Top Bottom