Need help/advice

Need help/advice

Wi-Fi

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
2,091
Reaction score
1,381
wakuu mimi nilikua nauliza ivi mtu anayesomea degree ya insurance and risk management au mtu anayesomea procurement and logistic management ni yup anaeweza kupata ajira/kazi itakayo m-boost ili baadae ajiajiri?? Thanx
 
Hellow?
Nakushauri usome procurement and logistic management then ufanye paper zake za bodi unaweza kuwa na wigo mkubwa wa kufanya kazi sehemu nyingi na hata kujiajiri kama procurement consultant.tofauti na hiyo kozi ya risk ambayo najua inatolewa ifm kwa hapa bongo hiyo kozi ni nzuri tena sana lakini tatizo ni limited katika sehemu za kufanya kazi.Its my view challenges are accepted.all the best
 
Hellow?
Nakushauri usome procurement and logistic management then ufanye paper zake za bodi unaweza kuwa na wigo mkubwa wa kufanya kazi sehemu nyingi na hata kujiajiri kama procurement consultant.tofauti na hiyo kozi ya risk ambayo najua inatolewa ifm kwa hapa bongo hiyo kozi ni nzuri tena sana lakini tatizo ni limited katika sehemu za kufanya kazi.Its my view challenges are accepted.all the best

thanx bro 4 ua advice but unaonaje kwamba kutokana na kwamba iyo kozi inatolewa na vyuo viwili ikiwemo udsm(actuarial sciences) kwamba kwnye ajira kunakuwa na demand kubwa ya graduates kuzidi supply?? esp kwny makampuni ya insurance??
 
Back
Top Bottom