need help, am i lesbian?

need help, am i lesbian?

Unakoelekea ni kubaya, ila uwezo uko ndani yako ni kuamua tu manake kama ni ubaya na uovu unaueewa sana tu!
 
Pole sana Unatakiwa ukutane na mwanaume wa shoka kama mimi,,,
Nitafute nikupe Dozi ya kutosha sana.
Mi nacheza mechi aina zote, Sijali HALI GANI YA UWANJA WATOPE/NYASI AU BILA NYASI..
Huyo si Jini...
Jambo la msingi na dawa upate mtu atakae cheza nawe lkn awe kijana aasie wahi/wala kutaman kufunga bali akifika ndani ya kumi na nane ana rudi Beki...
Three times per Day..
 
Mambo mengine sijui mnayatoa wapi, maana nina uhakika hata shetani mwenyewe hayajui, Tubu dada
 
'Njooni kwngu nyie wote msumbukao na mliolemewa na mizigo nami nitawapumzisha' ( Jesus Christ)

'Msijisumbue kwa neno lolote ila kwa kusali na kuomba .....'na HAJA ZENU ZIJULIKANE KWA MUNGU'
Mix with yours
 
Back
Top Bottom