MI NASUBIRI SAFARI YA DRIMULAINA KUTOKA DAR MPKA MUMBAI..
NIANYO MKUU ILA WALISEMA MWEZI HUU WATAANZA ILA NAONA KIMYA MWEZI UNAKATIKA TUNauli unayo??? au unasubiria ofa ya safari ya kwanza!!!ofa haitakiwepo.
Nairobi ina magari mara mbili ya Tanzania nzima. Barabara tulizo nazo tukiwapa mtasahau mambo ya foleni kwa muda mrefu.So tuache kujenga sababu nyinyi mliishajenga???
Wacha tuwaonyeshe by 2020 how modern cities needed to be.saa hii ndio mnajua mlitangulia na ice bicycle.10 lanes na foreni iko vile vile unaweza ona ni jinsi gani ujenzi haukuzingatia mipango bali mizuka na show off.
Nairobi ina magari mara mbili ya Tanzania nzima. Barabara tulizo nazo tukiwapa mtasahau mambo ya foleni kwa muda mrefu.
NIANYO MKUU ILA WALISEMA MWEZI HUU WATAANZA ILA NAONA KIMYA MWEZI UNAKATIKA TU
Wana magari mengi ila hawana food stocks!Umeanza kuandika ujinga.
Shemeji yako anamiliki gari ngapi??maana najua wewe huna.
Tunajenga Dodoma stadium with capacity of 90,000 people, the biggest after Soccer city in South Africa.Kama ni uwanja wa National Stadium basi una mchezo maanake uwanja huo umetoshana na wa Kasarani, tofauti wenu ni mpya.
Kenya Airways imenunua Dreamliner nane in the last 6 years, ninyi Dreamliner moja pekee hakukaliki huku. Kila siku Dreamliner. Sasa ukisema hiyo ni project na sisi tusemeje?
Usijisumbue na project ambazo zilipangwa na hazikukamilika Kenya maana hata huko Bongo kunazo nyingi mlizopigia kelele na hata kuanza hazijaanza ikiwemo Bagamoyo Port ambayo kila siku munachocha jinsi itakuwa the biggest in Africa. Ziangalie zile zilizokamilika na nimekuorodheshea ni nyingi kushinda zenu.
Wanja gani zingine mmejenga other than that JNIA terminal? Nimeorodhesha Wanja zilizojengwa from nothing to something modern. Huko kwenu uwanja wa tatu mkubwa wa Mwanza unakaa Zizi la ng'ombe Sasa hayo ni mambo ya kuongea mbele ya watu?
Aisee barabara nilizoorodhesha sio barabara za kawaida maana za kawaida nikiorodhesha utatoroka humu. Hizo ni barabara za kiana pana na zina overpasses na interchanges kadhaa. Hivi nikuuliza unionyeshe barabara inayofanana na Lang'ata Road, Ngong Road, Outering, Thika Road, Southern bypass et al utanionyesha Bongo nzima? Ndio maana sikubisha ulipoorodhesha BRT maanake naelewa BRT sio barabara ya kikawaidakawaida.
Nairobi inaingia Mara tatu kwa Dar, hizo gari zenu mkizileta ndani ya Mega city, hamtoziona kabisa, tatizo Nairobi ni ndogo sana, imeizidi kidogo sana Arusha, ndio sababu mnadhani mpo na gari nyingi.Nairobi ina magari mara mbili ya Tanzania nzima. Barabara tulizo nazo tukiwapa mtasahau mambo ya foleni kwa muda mrefu.
Nairobi inaingia Mara tatu kwa Dar, hizo gari zenu mkizileta ndani ya Mega city, hamtoziona kabisa, tatizo Nairobi ni ndogo sana, imeizidi kidogo sana Arusha, ndio sababu mnadhani mpo na gari nyingi.
Duuh, aise bongo tuna nafuu.Galana irrigation project swallowed Billion of Shillings, it remains white elephant. Greenfield terminal its cornerstone was laid by Uhuru Kenya, I remember that day the whole Kenya was vibrating, I don't know what happened.
Laptop per child, God knows. Crude oil pipeline to Mombasa from Turkana, we are waiting for Jesus to attend its inauguration ceremony. 5 big stadia are waiting for virgin Maria to get another child. Nairobi light train is about to start working after its construction to reach 98%.
Nairobi ina magari mara mbili ya Tanzania nzima. Barabara tulizo nazo tukiwapa mtasahau mambo ya foleni kwa muda mrefu.
View attachment 911173 View attachment 911174
Kama kweli mna magari mengi kuliko sisi plate number zenu zisingekuwa na idadi za namba/herufi (permutations) sawa na za kwetu. Ukitumia formula hii P ( n , r ) = n! / ( n-r )! utagundua kuwa hamtuzidi idadi ya magari.
Hawa jamaa midomo/vidole vyao vinafanya kazi haraka kuliko bongo zao.Unlike chinyan nimegundua watz tunatumia akili sana kwenye mijadala kuliko hizi ngamia.
Yaani badala uletee data kutoka TBS unaleta upuzi wa number plate?alafu nzi ingine mkorinto anakushabikia [emoji23][emoji23]kila mwaka Kenya ina import magari mengi both mpya na Mzee kuliko Tanzania simple Google search itakuonyesha ivo tumia akiliView attachment 911173 View attachment 911174
Kama kweli mna magari mengi kuliko sisi plate number zenu zisingekuwa na idadi za namba/herufi (permutations) sawa na za kwetu. Ukitumia formula hii P ( n , r ) = n! / ( n-r )! utagundua kuwa hamtuzidi idadi ya magari.
Bagamoyo port has never been in Talking over 5 years, stop exaggerating. Only immediately after Xi Jinping visit.Mimi mwenyewe nilisema Bagamoyo Ikianza kujengwa, nitafanya lolote mtakalo niambia nifanye. Bagamoyo ni cheap CCM propaganda that has been around for 10 years
Kuna kitu kinaitwa "counting without counting" yaani unaweza kujua idadi ya vitu bila hata ya kuvihesabu.Yaani badala uletee data kutoka TBS unaleta upuzi wa number plate?alafu nzi ingine mkorinto anakushabikia [emoji23][emoji23]kila mwaka Kenya ina import magari mengi both mpya na Mzee kuliko Tanzania simple Google search itakuonyesha ivo tumia akili
Umeanza kuandika ujinga.
Shemeji yako anamiliki gari ngapi??maana najua wewe huna.
Ebu tuonyeshe picha za hizo project unasema ziko under construction.Tunajenga Dodoma stadium with capacity of 90,000 people, the biggest after Soccer city in South Africa.
Tunajenga VIWANJA vya ndege Vinci kuliko vyenu
1)Songwe international Airport Mbeya
2) Bukoba Airport
3) Chato International Airport
4)Mtwara Airport
5) Tanga Airport
6) Abeid Aman Karume International Airport- Zanzibar
Tunajenga radar kubwa sana 4 kwa Mara moja.
Tunajenga SGR ndefu kuliko zote Africa na ya kisasa, ikikamilika itagharimu $14B
Tunajenga the biggest dam katika EAC, kwa pesa ya ndani kuzalisha UMEME.
Hayo yote niliyotaja tunatumia pesa yetu ya ndani, niambie miradi mnayotumia pesa yenu ya ndani yenye thamani ya $3B pekee.
This is the most ridiculous logic I've ever come across. Go back to school.View attachment 911173 View attachment 911174
Kama kweli mna magari mengi kuliko sisi plate number zenu zisingekuwa na idadi za namba/herufi (permutations) sawa na za kwetu. Ukitumia formula hii P ( n , r ) = n! / ( n-r )! utagundua kuwa hamtuzidi idadi ya magari.
Speak with facts. Not mere wordsNairobi inaingia Mara tatu kwa Dar, hizo gari zenu mkizileta ndani ya Mega city, hamtoziona kabisa, tatizo Nairobi ni ndogo sana, imeizidi kidogo sana Arusha, ndio sababu mnadhani mpo na gari nyingi.