Neema kwa wamachinga hii hapa! Kila machinga kuondoka na kitita

Neema kwa wamachinga hii hapa! Kila machinga kuondoka na kitita

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
2D4E6FF9-5CEC-4550-B1D3-5F1CEC745A68.jpeg
ED0DC061-FAE7-4EAF-8A80-D0F77BFA0379.jpeg
 
Tunakwenda kutengeneza taifa la vibaka na majambazi,
Ngoja mvua zianze mje muone shughuli yake[emoji3525]
 
Wamachinga sio wapiga kura tena. Hata wakipiga nani anapoteza muda kuzihesabu??
Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi.

Uchaguzi unasimamiwa na kuamuliwa na vyombo vya dola vilivyo chini ya rais. Kwahiyo rais Samia ana 100% ya kushinda uchaguzi
 
Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi.

Uchaguzi unasimamiwa na kuamuliwa na vyombo vya dola vilivyo chini ya rais. Kwahiyo rais Samia ana 100% ya kushinda uchaguzi
Imekula kwao.
 
Back
Top Bottom