DeepPond JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 41,728 Reaction score 103,997 Dec 3, 2021 #2 Tunakwenda kutengeneza taifa la vibaka na majambazi, Ngoja mvua zianze mje muone shughuli yake[emoji3525]
Tunakwenda kutengeneza taifa la vibaka na majambazi, Ngoja mvua zianze mje muone shughuli yake[emoji3525]
Unforgettable JF-Expert Member Joined Aug 1, 2019 Posts 5,584 Reaction score 12,461 Dec 3, 2021 #3 Kitita kikwapi mkuu
R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 Dec 3, 2021 #4 mirindimo said: View attachment 2031975View attachment 2031976 Click to expand... Wamachinga sio wapiga kura tena. Hata wakipiga nani anapoteza muda kuzihesabu??
mirindimo said: View attachment 2031975View attachment 2031976 Click to expand... Wamachinga sio wapiga kura tena. Hata wakipiga nani anapoteza muda kuzihesabu??
G G4N JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 4,283 Reaction score 9,925 Dec 3, 2021 #5 Pythagoras said: Wamachinga sio wapiga kura tena. Hata wakipiga nani anapoteza muda kuzihesabu?? Click to expand... Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi. Uchaguzi unasimamiwa na kuamuliwa na vyombo vya dola vilivyo chini ya rais. Kwahiyo rais Samia ana 100% ya kushinda uchaguzi
Pythagoras said: Wamachinga sio wapiga kura tena. Hata wakipiga nani anapoteza muda kuzihesabu?? Click to expand... Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi. Uchaguzi unasimamiwa na kuamuliwa na vyombo vya dola vilivyo chini ya rais. Kwahiyo rais Samia ana 100% ya kushinda uchaguzi
R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 Dec 3, 2021 #6 G4N said: Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi. Uchaguzi unasimamiwa na kuamuliwa na vyombo vya dola vilivyo chini ya rais. Kwahiyo rais Samia ana 100% ya kushinda uchaguzi Click to expand... Imekula kwao.
G4N said: Machinga, wakulima, wavuvi, na wananchi wanyonge wote hawana issue tena kwenye uchaguzi. Uchaguzi unasimamiwa na kuamuliwa na vyombo vya dola vilivyo chini ya rais. Kwahiyo rais Samia ana 100% ya kushinda uchaguzi Click to expand... Imekula kwao.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Dec 4, 2021 #7 NGoja tuone...
Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Dec 4, 2021 #8 Safi sana