Neema zaidi kwa watanzania-Survey shows huge gas, oil potential at Kilosa-Kilombero

Ni vigumu sana kumuelimisha mtu ambae anatumia viroba kuongea
#PIA NI NGUMU SANA KUELEWESHA JAMAA ZA MAFISADI UKOO WA PANYA WAKAKUELEWA THEY MUST FEEL AS YOU WANT TO CUT AND RISK UTAMU WALIOKWISHA UZOEA UTAMU WA MILELE UTAMU HADI KWA WAJUKUU NA ViTUKUU
 
Nina hakika imani yako ya kidini inakusuta unapotokwa povu kutetea wizi na dhulma.

Huo wizi uko wapi? unaujuwa wizi wewe? Uibiwe nini wewe? hakuna ujinga kama kuwa na uchumi halafu unaukalia. Na kama hutaki kula basi kaa usiliwe, ukitaka kula ni lazima uliwe.

Miaka hii michache ya nyuma uchumi umefunguliwa tunaona matokeo, hata wale ambao walikuwa wanaona kuwa na gari ni anasa leo hii wana magari na imekuwa ni necessary na si luxury tena kama mlivyoaminishwa hapo kale. Hayo ndio manufaa ya kufunguka uchumi.
 
Unufaike hata kuchimbwa hiyo haijaanza? ndio kwanza tupo kwenye exploration stages. Hivi huwa tunafikiri nini sisi? unakwenda na jembe unachimba kiazi unakula?

Tazama Songosongo viji gas kidogo tu tunavyo nufaika, hivi mpo dunia ipi nyinyi?

Tuanze mara ngapi? Mwenyewe ushaitaja hapo songosongo.
Unaweza kuniambia faida zake?
1. Maana umeme ndio kwanza unapanda tuliambiwa utashuka
2. Cement na mabati na Nondo tuliambiwa bei itashuka lakini ndio kwanza inapanda.
3. Gas kwenye magari tuliambiwa tutatumia na ni Raisi, Nimefuatilia sana hili na gharama ya Gas na Petrol hakuna Tofauti ni ileile.

Labda wewe niambie faida yake?

Unajua ni kiasi gani kama serekali imepokea. Kama pato kutola huu mradi?
Je ila Kampuni ya MACCM unajua ni Faida kiasi gani imepokea kama faida kutoka na Songosongo Gas?
 
Watani zangu Morogoro, Kibondo chaja kwenu pia, hadi MTAKOMA.
 

The current constitution has nothing to do with the prevailing poverty in Tanzania rather it is simple minded person like yourself keep on blaming the goverment .As a Tanzania you should first ask youself what have I done to my country ? Do you think new constitution will be panacea to the prevailing extreme poverty ?
 
Hear they hear not, see they see not.

You are 100% right.

Thanks a lot FaizaFox for seeing the truth in my comment that some people didn't,To be honest,Things like protests in Mtwara & Extreme poverty in some Regions like Mara & Shinyanga where Diamond & Gold Minings are found are the manifestations of the flawed Constitution inwhich Nyerere and co are the founders.
 

I'm simply derailed..,what are u trying to say bro..? I fail to connect the dots, how does it drag us to this point..?
 

How nyerere get involved..? The extreme poverty of mara and mtwara are the result of constitution, how..?
 
Na soon nchi hii itakuwa uwanja wa vita wa mataifa makubwa....kuna mtu alinambia hata hili la Mtwara lina harufu ya conflict kati ya nchi tajiri duniani...yangu macho...Na hivi viongozi wetu hawajuhi kuchagua wanataka kula huku na huku tusubir majanga...tutakung'utana wenyewe kwa wenyewe (kwa uchochezi ambao hatutakaa tuubaini kirahisi)...mnadhani hao viongozi wa nchi kubwa wanakuja tutembelea daily kwa kuwa 'tuna democracy kuliko nchi nyingine Africa'. Do they real care ...no free lunch ndio msemo wao
 

Faizafoxy,
When i said you should look at life like there is big pie to share i meant that you will benefit more when its done right than getting peanut from corrupt government officials who are selling out the country. It can only be done right if the contracts are open, there is a good government policy on how to exploit the resources and no corrupt government. But what i see now is just chukua chako mapema.
 

Well then you must be very naive if you think the Constitution has nothing to do with our lives.Your ignorance scare the hell out of me,really!!Now i know why many of you CCM lemmings are supporting that stupidity some of the Party's old guards are pushing into the new Constitution.Many of you guys are uninformed about the government structures/systems and its functions.You really need to educate yourself about political science then you can come back and have a healthy debate over Constitution thing with me.I am well ahead of you on this kinda stuff by kilometers.
 

Why do you wait for the government? why dont you go and sign an open contract with those companies? what is stopping you? I already have two contracts (on my expertise) with similar exploration companies, but I will never ever make my contracts open, why should I undress myself to competition? and they are many Tanzanians who are already benefiting by providing different expertise and services to over 30 companies who are now exploring in Tanzania.

Pursue and grab the opportunities, do not wait for the government, who is the government? remember the government is you and me and others like unto us.

"Ask not what your country can do for you, ask what you can do for your country".
 

Exactly, they are pursuing the opportunities.
 
Greatful,if you could provide a correlation bween constitution and poverty by citing specic examples rather than insisting on unfounded claims Boss
 
Kuliwa kwako maumivu kwa wengine.
 
tz bwana apo utakuta kuna lijitu linafkiria lijibnafsishie au liweke mwekezaji mtasha kwa manufaa yake
 
Greatful,if you could provide a correlation bween constitution and poverty by citing specic examples rather than insisting on unfounded claims Boss

On Governmental front,The current Constitution has given too much power to the Central Government,Power on how the Country's resources should be used,Who should decide on foreign investments in the Country and who should plan and implement mega projects in the Country.If the current Constitution allowed the Local Governments to have a say on how the resources in a given area should be used,If Local Governments allowed to have a say on the foreign investment issues,If common people had a say on the land possession matters,If the current Constitution had forced administrations not to allow the possession of investments of 100% by foreigners instead the investment possession would be on 50/50 basis between Locals & Foreigners then this what we call unemployment problem would be a history.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…