Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwenye matangazo mengi ya kazi kuna statement hii "we regret that only the shortlisted candidates will be contacted". Ukiona kimya kingi ujue umetupwa kapuni mkuu!
Waswahili wanasema ukiona manyoa ujue..........................!
Nadhan hukuelewa jamaa alichouliza,kauliza kuna mwenye taarifa zaidi amjuze...yaani kama hakua mmoja wa waliochaguliwa basi aseme ili ijulikane kama ametupwa kapunii
Hahahha, kweli wewe ni under_score!!Dah! mkuu naona una hasira kwelkwel, na wewe pia uli'apply nini aise! Em mwageni majina yenu kamili basi pamoja na nafasi ulizoomba ili niwachekie, maana mi niko jikoni kabisa huku.
mi nilitaka nijue kama kuna mtu keshaanza kazi au tuendelee kuomba munguMkuu kwenye matangazo mengi ya kazi kuna statement hii "we regret that only the shortlisted candidates will be contacted". Ukiona kimya kingi ujue umetupwa kapuni mkuu!
Waswahili wanasema ukiona manyoa ujue..........................!
mkuu kwa ma gret sinker huwezi wadanganya kirahisi hivyo, we anagalia kama kuna mtu atakupa jina la ukweli hapa, Hapa kila mtu ni mjanjaDah! mkuu naona una hasira kwelkwel, na wewe pia uli'apply nini aise! Em mwageni majina yenu kamili basi pamoja na nafasi ulizoomba ili niwachekie, maana mi niko jikoni kabisa huku.
mi najua wame apply wengi sana, kwa hiyo kamanda tujuzane kila taarifa ikitokaDah! mkuu naona una hasira kwelkwel, na wewe pia uli'apply nini aise! Em mwageni majina yenu kamili basi pamoja na nafasi ulizoomba ili niwachekie, maana mi niko jikoni kabisa huku.
mi nilitaka nijue kama kuna mtu keshaanza kazi au tuendelee kuomba mungu
mkuu kwa ma gret sinker huwezi wadanganya kirahisi hivyo, we anagalia kama kuna mtu atakupa jina la ukweli hapa, Hapa kila mtu ni mjanja
Dah! mkuu naona una hasira kwelkwel, na wewe pia uli'apply nini aise! Em mwageni majina yenu kamili basi pamoja na nafasi ulizoomba ili niwachekie, maana mi niko jikoni kabisa huku.
labda nkusaidie kijana,(bearer of the thread)kifupi hakuna mtu aliyeitwa kwenye interview mpaka sasa ila mambo yote yameiva na labda niweke sawa kidogo kuwa mishahara yote ni kwa TSH na scale ni zile zile za serikali,haya niangalie mimi jina langu ni John Tete
labda nkusaidie kijana,(bearer of the thread)kifupi hakuna mtu aliyeitwa kwenye interview mpaka sasa ila mambo yote yameiva na labda niweke sawa kidogo kuwa mishahara yote ni kwa TSH na scale ni zile zile za serikali,
Shortlisted candidates will be contacted sooner rather than later and priority is to fill the overwhelming departments,so please guys be patient
Dah! mkuu naona una hasira kwelkwel, na wewe pia uli'apply nini aise! Em mwageni majina yenu kamili basi pamoja na nafasi ulizoomba ili niwachekie, maana mi niko jikoni kabisa huku.
Mkuu mpaka sasa hivi nimekubali kweli ww ni inteligence manake hii issue nimekuwa nikiifuatilia tangu January mpaka sasa naona ww ndo huwa unatoa majibu amabayo yanafanana na ukweli big up. mi nimeomba nafas fulan hapo naomba mungu nipate tuje tuwe pamoja hapo.labda nkusaidie kijana,(bearer of the thread)kifupi hakuna mtu aliyeitwa kwenye interview mpaka sasa ila mambo yote yameiva na labda niweke sawa kidogo kuwa mishahara yote ni kwa TSH na scale ni zile zile za serikali,
Shortlisted candidates will be contacted sooner rather than later and priority is to fill the overwhelming departments,so please guys be patient
let me thank you guys for appreciating that ,Ndechumia, sawe boy, and the thread bearer ,there is a scholarships here I wonder to date there are still few Tanzanians applicants while the institution is yours applauds for more TZ to apply,there is a very attractive package for those who will secure the scholarships please if your eligible dont waste your time dreaming about missing the scholarship because the latter will "pay the jobs wont pay"Mkuu mpaka sasa hivi nimekubali kweli ww ni inteligence manake hii issue nimekuwa nikiifuatilia tangu January mpaka sasa naona ww ndo huwa unatoa majibu amabayo yanafanana na ukweli big up. mi nimeomba nafas fulan hapo naomba mungu nipate tuje tuwe pamoja hapo.