Nelson OKWA: Sivunji mkataba wangu bila mil. 800/=

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Baada ya kutamatika kwa safari ya Simba SC kwenye michuano ya Mapinduzi Cup 2023 huko Zanzibar, viongozi wa Simba hawakutaka kulaza damu mara moja wakawasiliana na wakawa (agent) wa mchezaji Nelson Okwa aitwaye Adeniji Jubril Awofe ili waanze mazungumzo ya kuvunja mkataba.

Simba SC wakafanya mazungumzo na kutoa maapenzekezo yao kuhusu kuvunja mkataba. Bwana Awofe akawasiliana na mchezaji wake kumuelezea taarifa kuhusu mapendekezo ya waajili wake.

Majibilu ya Nelson Okwa kwa Bwana yalikuwa "Siko tayari kuvunja mkataba kwa sasa ukizingatia mkaataba wangu unatamatika 2024, hata hivyo kama suala la kuvunja mkataba kwa sasa ni lazima basi kiasi cha USD 380,000/= kitafaa kubadili maamuzi yangu".

Viongozi wa Simba watakaa kikao siku ya jumatatu asubuhi kujadili zaidi suala la wachezaji wa kuachwa ili kutengeneza nafasi kwa ajili ya wengine.

 
Mi ni mpenzi wa Simba,ila wachezaji wanaoingia kwa mchongo,hata kutoka wanapewa mbinu za kuzidi kuikamua club.

Kama mtu aliyehusika kumleta anajulikana,Simba isimchekee,maana ni wazi kuna maksudi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Aendelee kupigwa bench tu..ataomba poo mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…