demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Baada ya kutamatika kwa safari ya Simba SC kwenye michuano ya Mapinduzi Cup 2023 huko Zanzibar, viongozi wa Simba hawakutaka kulaza damu mara moja wakawasiliana na wakawa (agent) wa mchezaji Nelson Okwa aitwaye Adeniji Jubril Awofe ili waanze mazungumzo ya kuvunja mkataba.
Simba SC wakafanya mazungumzo na kutoa maapenzekezo yao kuhusu kuvunja mkataba. Bwana Awofe akawasiliana na mchezaji wake kumuelezea taarifa kuhusu mapendekezo ya waajili wake.
Majibilu ya Nelson Okwa kwa Bwana yalikuwa "Siko tayari kuvunja mkataba kwa sasa ukizingatia mkaataba wangu unatamatika 2024, hata hivyo kama suala la kuvunja mkataba kwa sasa ni lazima basi kiasi cha USD 380,000/= kitafaa kubadili maamuzi yangu".
Viongozi wa Simba watakaa kikao siku ya jumatatu asubuhi kujadili zaidi suala la wachezaji wa kuachwa ili kutengeneza nafasi kwa ajili ya wengine.
Simba SC wakafanya mazungumzo na kutoa maapenzekezo yao kuhusu kuvunja mkataba. Bwana Awofe akawasiliana na mchezaji wake kumuelezea taarifa kuhusu mapendekezo ya waajili wake.
Majibilu ya Nelson Okwa kwa Bwana yalikuwa "Siko tayari kuvunja mkataba kwa sasa ukizingatia mkaataba wangu unatamatika 2024, hata hivyo kama suala la kuvunja mkataba kwa sasa ni lazima basi kiasi cha USD 380,000/= kitafaa kubadili maamuzi yangu".
Viongozi wa Simba watakaa kikao siku ya jumatatu asubuhi kujadili zaidi suala la wachezaji wa kuachwa ili kutengeneza nafasi kwa ajili ya wengine.