Nelson OKWA: Sivunji mkataba wangu bila mil. 800/=

Taarifa imekaa kidakubdaku kutoka utopoloni...
 
Wakome kusajili magarasa
Kisa tu eti alionekana kukinukisha kwenye mechi 2 alizocheza dhidi ya Yanga alipokuwa Rivers United! Wazee wa kukurupuka wakampa mkataba!! Huku wakimpamba kwa kila aina ya mapambio.

Ngoja tuone mwisho wa hili sekeseke! Milioni 800 usawa huu, si mchezo.
 
Apelekwe tu kwa mkopo Yanga.
Hapo nina uhakika atapata namba ya kudumu.
 
Watu pale wanaishi au wanaongeza pesa kwenye akaunti zao kupitia 10% za haya magarasa.
 
Kama kambole na biriganya mlivyoingia kichwa kichwa
Kweli uto(nyani) haoni kundule
 
Reactions: Tui
Hicho ulichokisema ni kweli kuna baadhi ya viongozi wanakula kupitiw mikataba ya wachezaji na haya ndio yanatesa sana timu zetu hakuna uadilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo Simba na Yanga tunachemka kwenye scouting na kuwa fuatilia wachezaji sometimes viongozi wetu ambao hawa hujui mpira wanafanya maamuzi kwa kuangalia mechi moja.
 
Usitutoe kwenye reli suala lililopo mezani ni ishu ya FEI TOO ngja iishe kwanza 😎 😎
 
Kamati ya Usajiri ya Simba ina dhana bado kuwa kila mchezaji mfupi ni Miquissone.
Utailamu Kamati ya Usajili, lakini mimi naungana na Magori kuwa mtu anayepaswa kusajili wachezaji na viongozi wa klabu na sio kocha. Kocha sio mpenzi wala mwanachama wa klabu, ukimpa madaraka ya kusajili mchezaji kwa mkataba wa miaka mitatu wakati yeye hana uhakika wa kudumu kwa hata miezi sita, unafanya makosa. Kocha ndiye aliyependekeza wasajiliwe Okwa na Ouatara, halafu yeye akapata ofa nene sehemu nyingine akawaacha Simba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…