Nembo ya Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam na maneno yaliyoko katika logo hiyo ni vitu vya kutazamwa upya kwani viko kisiasa zaidi kuliko kitaaluma

... na wala hekima haifundishwi darasani. Tuko pamoja.
Niliuliza kule juu kama hekima hujazaliwa nayo unawezaje kupata hekima?
Swali kubwa sana hili kama wewe ni great thinker na hauendeshwi na siasa au na hisia za kidini.
Simaanishi usifuate imani za kidini, lakini lazima utambue wakati gani kwa muktadha upi usiegemee kiimani za kidini unapotafuta ukweli wa kitu au unapofanya mjadala.

Hekima(widom) huja kwa kujifunza na kufunzwa maarifa(knowledge) flani, kwa msisitizo tunasema ukiwa na maarifa ya vitu vingi sana ndipo unakuwa na hekima.
Na University ni sehemu wanayokuza fundisha na kukuza maarifa kwa uhuru na kiwango cha juu kabisa.
At the university is where the true enlightenment is practiced if and only if that institute is operated fully autonomous, free from religious and state interference.
 
Miaka ya leo akitokea professa au msomi mwingine yeyote anachambua changamoto za nchi yetu huyo ni adui wa nchi na msaliti mkubwa na anapaswa kupigwa risasi mchana kweupe! Hata ukionekana umepiga picha ya shimo lililopo katikati ya barabara unasakwa na polisi usiku na mchana.
 
mbona hii logo ya Tumaini ni kama Nembo ya kanisa tuu
 
Kuna watu hawana elimu lakini wana busara hasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui unachobisha ni nini. Vyote unavyosema, knowledge etc, msingi wake wa mwisho ni kumpata mtu aliyestaarabika. Kuhusu Suleman aliyekuambia alikuwa hajaenda shule mdai ada yako. Mfumo wa kiyahudi uliwapitisha vijana kwenye elimu bora sana kuhusu taifa lao na sheria za Mungu. Shida yako ni tafsiri unayoipa elimu, ni finyu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
As it is to wisdom, learning is a change in behavior resulting from experiences and esposure. A change in behaviors after passages of years, yields what we call wisdom.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hawana elimu lakini wana busara hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo hii inaondoa ukweli kwamba maarifa (knowledge) itokanayo na taasisi za elimu humuongezea hekima msomi?
Hata hao wasio soma wamejifunza maarifa yanayo wafanya kuwa na buasara kwa njia isiyo rasmi (learning through informal education).
 
Ukisoma essence ya vyuo vikuu duniani utakuja kufuta hii komment yako mkuu. Soma angalau rejea kidogo juu ya ni nn sababu ya uwepo wa vyuo vikuu, haya unayosema ya teaching, consultancy na research hayapo; yanaingia in an operational way. Chuo kikuu kinatakiwa kifundishe watu kujua jambo jema wanalotakiwa kutenda " a pursuit for goodness". Sasa namna ya kulifikia hili ndipo yanapoingia haya mambo yako unayoyataja.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaelekea gizani.UDOM tangia chuo kimeanza hawajawahi hata kufanya mdahalo wa kitaifa kuhusu kitu chochote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli kuwa hekima haifundishwi popote
Mkuu It is agreed on all sides (Eastern and Western philosophies) that wisdom involves the direction of life by relevant knowledge, and thus, that it incorporates both a theoretical and a practical element. -- source: Can Wisdom Be Taught? | Dallas Willard

Utaona kwamba chuo kikuu na taasisi zingine za elimu ndio unaweza kufundishwa maarifa flani ambayo ukiyatumia, huku ukichanganya na uzoefu na mtazamo wako kuhusu mambo flani kutokana na uzoefu wako ndio unaweza kufanya mahamuzi sahihi na ya haki ( good judgement) ambayo ndio mojawapo ya vitu tunavyo ita hekima.

Hata Sulemani (Solomon) alisifika kuwa na hekima kutokana na kufanya mahamuzi ya haki au tuite mazuri (good judgement) kwenye matukio mablimbali katika uongozi wake.
Hatuwezi kusema moja kwa moja hekima hufundishwa darasani bali vitu vinavyofundishwa darasani na nje ya darasa vinasaidia uweze kufanya vitu kwa hekima.
 
Asante kwa kumjibu. Ingawa wanasema aliyelala usimwamshe ukimwamsha utalala Mwenyewe. Jamaa yuko usingizini pia gizani asaidiwe nuru ikibidi apewe mwenge umumulikie. Huwezi kujadili nembo iliyoandaliwa na vichwa vya Hali ya juu wakati bado uko first year ktk chuo cha kata na ndo umebalehe. Asemehewe tu.
 
Nikiwa nakubaliana na definition hizi.
Niambie kama "day to day experience" sio 'education.'
Kwani 'education' ni lazima mtu akae darasani?
 
Nikiwa nakubaliana na definition hizi.
Niambie kama "day to day experience" sio 'education.'
Kwani 'education' ni lazima mtu akae darasani?
... kwani UDSM wanafundisha "day-to-day experience" au formal education? Day-to-day experience ndiyo inazaa wisdom ambayo huwezi kufundishwa na profesa yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…