Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Hakuna mwanadamu anayezaliwa na hekima.Hata sulemani hakuzaliwa na hekima.Ndio maana hata Mungu kwenye biblia amesema wazi "mtu akipungukiwa na hekima na aombe" kwa hiyo hekima inapatikana baada ya kuzaliwa na wala si kuzaliwa nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliuliza kule juu kama hekima hujazaliwa nayo unawezaje kupata hekima?... na wala hekima haifundishwi darasani. Tuko pamoja.
Swali kubwa sana hili kama wewe ni great thinker na hauendeshwi na siasa au na hisia za kidini.
Simaanishi usifuate imani za kidini, lakini lazima utambue wakati gani kwa muktadha upi usiegemee kiimani za kidini unapotafuta ukweli wa kitu au unapofanya mjadala.
Hekima(widom) huja kwa kujifunza na kufunzwa maarifa(knowledge) flani, kwa msisitizo tunasema ukiwa na maarifa ya vitu vingi sana ndipo unakuwa na hekima.
Na University ni sehemu wanayokuza fundisha na kukuza maarifa kwa uhuru na kiwango cha juu kabisa.
At the university is where the true enlightenment is practiced if and only if that institute is operated fully autonomous, free from religious and state interference.