and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Baraza la Mazingira (NEMC) nawauliza hamuoni Uchafuzi wa mazingira baharini na kwenye vyanzo vya maji?
Uchafu unatiririshwa baharini, na ziwani kwa Hali ya kutisha. Public beaches (fukwe za umma) eg. Coco, Kawe, Jangwani zimejaa uchafu Wala hamchukui hatua. Why?
*Huko baharini mna hata Boat ya Patrol tu
Tusipoangalia tutabaki na fukwe zilizojaa vinyesi tu
Uchafu unatiririshwa baharini, na ziwani kwa Hali ya kutisha. Public beaches (fukwe za umma) eg. Coco, Kawe, Jangwani zimejaa uchafu Wala hamchukui hatua. Why?
*Huko baharini mna hata Boat ya Patrol tu
Tusipoangalia tutabaki na fukwe zilizojaa vinyesi tu