Inasikitisha sana...Baraza la Mazingira (NEMC) nawauliza hamuoni Uchafuzi wa mazingira baharini na kwenye vyanzo vya maji?
Uchafu unatiririshwa baharini, na ziwani kwa Hali ya kutisha. Public beaches (fukwe za umma) eg. Coco, Kawe, Jangwani zimejaa uchafu Wala hamchukui hatua. Why?
*Huko baharini mna hata Boat ya Patrol tu
Tusipoangalia tutabaki na fukwe zilizojaa vinyesi tu
View attachment 2062076
Aise nipo kwenye residential area. Kuna jamaa wawili toka uswahilini wana mifugo wanatutesa mno. Kuanzia kula maua majani miti mpaka kinyesi!Baraza la Mazingira (NEMC) nawauliza hamuoni Uchafuzi wa mazingira baharini na kwenye vyanzo vya maji?
Uchafu unatiririshwa baharini, na ziwani kwa Hali ya kutisha. Public beaches (fukwe za umma) eg. Coco, Kawe, Jangwani zimejaa uchafu Wala hamchukui hatua. Why?
*Huko baharini mna hata Boat ya Patrol tu
Tusipoangalia tutabaki na fukwe zilizojaa vinyesi tu
View attachment 2062076
Katika Mabaraza ya hovyo yanayodumbua fedha ya serikali bila kazi ni hao nemc,Baraza la Mazingira (NEMC) nawauliza hamuoni Uchafuzi wa mazingira baharini na kwenye vyanzo vya maji?
Uchafu unatiririshwa baharini, na ziwani kwa Hali ya kutisha. Public beaches (fukwe za umma) eg. Coco, Kawe, Jangwani zimejaa uchafu Wala hamchukui hatua. Why?
*Huko baharini mna hata Boat ya Patrol tu
Tusipoangalia tutabaki na fukwe zilizojaa vinyesi tu
View attachment 2062076
Naunga mkono, hili baraza linatakiwa kufutwa ni mzigo kwa taifaTuna wachumia tumbo hatuna baraza
Basi watangaze wameshindwa kazi, kwasababu wao ni wasimamizi wanapaswa kuchukua hatua dhidi ya wavunja sheriaUsafi Ni Wajiibu wetu sote mkuu...Nemc Atakuja Kwako kukuambia usitupe Taka kweli??