rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
NEMC wakazie hapo hapo Kuna baa nyingi hakuna kelele na watu wanajaa wenye mabaa wafate sheria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wanakunywa kwa sababu kuna bendi au mzikiKwani wamekataza kuuza pombe au kelele zilizozidi kipimo? Mbona wagumu kuelewa?
Wengine wanakunywa kwa sababu kuna bendi au mziki
afadhali tarehe 28 nemc walipumua vizuri na watu walilala vizuri bila makeleleKatika tukio la hivi karibuni, Mkurugenzi wa Baraza la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka, amezungumza kuhusu operesheni ya msako inayoendelea dhidi ya wanaokiuka sheria za mazingira. Dkt. Gwamaka alisema kuwa wale watakaokamatwa katika msako huo watafuata taratibu za kisheria, na adhabu itatolewa kulingana na kosa lililofanywa. Alibainisha kuwa faini ya milioni tano itatozwa kwa wanaorudia kukiuka sheria hizo, na faini ya milioni mbili kwa wale ambao wanakiuka sheria kwa mara ya kwanza.
Kwa upande mwingine, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, alitoa maoni yake kuhusu suala la kelele katika mji huo. Alisema kuwa Dar es Salaam ni mji wa biashara, na ili kufanikisha uchumi wa mji huo, ni muhimu kuendelea na shughuli za biashara. Hata hivyo, aliwasihi wafanyabiashara kutafuta njia za kuepuka kelele zisizo za lazima. Alieleza kuwa bia bila kelele ni kama juice, ikisisitiza umuhimu wa kuzingatia mazingira ya biashara yanayofaa.
Kwa habari nyingine, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makalla, ametoa agizo la kufunguliwa kwa baa na kumbi za starehe ambazo zilikuwa zimefungiwa na NEMC kutokana na kelele zilizozidi viwango vilivyowekwa. Aidha, Makalla alipiga marufuku operesheni ya kamata kamata na uviziaji iliyokuwa ikifanywa na NEMC kwa kushirikiana na jeshi la polisi. Agizo hilo linalenga kuimarisha mazingira ya biashara na kuhakikisha kuwa hatua zinazochukuliwa zinafuata utaratibu na sheria.
Habari hizi zinaendelea kutoa mwelekeo kuhusu hatua zinazochukuliwa kudhibiti kelele na kusimamia sheria za mazingira katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Ni muhimu kuzingatia sheria na kanuni ili kuhakikisha kuwa mazingira ya biashara yanakuwa endelevu na yanayofaa kwa wote.
Tutakuendelea kuwaletea taarifa zaidi kuhusu suala hili na matukio mengine muhimu.
Kweli kabisa kulikuwa na kero kubwa saana lakini sasa NEMC wametuokoa na kadhia kwa kweli waendelee kutekeleza sheria na majukumu yaoVizuri,endeleeni kuwasaka hao wapiga kelele
Hatuwezi kwenda na Chalamila ambaye anachoangalia ni kuwafurahisha wafanyabiashara na anayetaka kupindisha sheria kwa utashi wake binafsi ,kiongozi mzuri ni yule anayefuata sheria na sio kutumia maoni yake ,makelele yana kero na madhara makubwa lakini yeye hatambui hilo ,hatuwezi kuwa na jamii ya viongozi wanaokanyaga sheriaTwendeni na chalamila
Hakuna anayepangiwa muda ,kinachosimamiwa ni usalama wa mazingira, makelele yamekuwa na madhara makubwa kwa watoto kuwa viziwi na kufariki ,kuleta matatizo ya moyo na imesababisha vifo ,watoto wameshindwa kujisomea ,watu kukosa utulivu na muda wa kupumzika yote haya ni madhara hasi kwa jamii ,sauti ipigwe kwa kiwango kilicho salama kama ambavyo sheria inataka ,tukizingatia biaahara tu tutakuwa na jamii ambayo haina afya na imeathirika ,NEMC inao wajibu kisheria kusimamia uhai wa mazingira na viumbe hai nao wanatekeleza wajibu wao kisheriaWatu waachwe walewe masaa 24,bar ziwe wazi masaa 24 ili kukuza uchumi.
Haya ya kupangiana mda wa kulewa Karne hii ni upumbavu mkubwa kabisa kwani wanapewa Hela ya kulewa.
Mda wako wa kazi ni mda wa mapumziko wa mwingine,ukilala usiku wengine ndo wapo kazini,ukilala mchana wenzako wapo kazini.
Hili litazamwe
NEMC hawa control wengine bali mazingira ,NEMC wanasimamia na kulinda usalama na ustawi wa mazingira na viumbe hai ,maisha ni zaidi ya fedha bali afya ni jambo la msingi saana ,tena tuwapongeze sana NEMC kwa kutekeleza majukumu yao bila kumuonea mtu haya , wafanyakazi wanao wajibu wa kutekeleza kazi zao kwa kufuata sheria za Nchi na kwa umaksusi hizi za mazingira ,kwanini wamiliki wa ma BAR wasipige mziki ambao hautakuwa kero kwa makazi ya watu ?? Kuna haja gani ya kusumbua walio nyumbani?? Hii haikubaliki NEMC wachape kazi hatutaki makeleleHao si ni mambwaa tu yakikaliaa kiti wanaona rahis kucontrol wengne ila akifukuzwaa kazi ndo anajua uhalisia ulivyo
Mazingira ya Dar kelele hazikwepeki sababu ya mipango miji mibovuHakuna anayepangiwa muda ,kinachosimamiwa ni usalama wa mazingira, makelele yamekuwa na madhara makubwa kwa watoto kuwa viziwi na kufariki ,kuleta matatizo ya moyo na imesababisha vifo ,watoto wameshindwa kujisomea ,watu kukosa utulivu na muda wa kupumzika yote haya ni madhara hasi kwa jamii ,sauti ipigwe kwa kiwango kilicho salama kama ambavyo sheria inataka ,tukizingatia biaahara tu tutakuwa na jamii ambayo haina afya na imeathirika ,NEMC inao wajibu kisheria kusimamia uhai wa mazingira na viumbe hai nao wanatekeleza wajibu wao kisheria
Uendeleee bado tunahitaji kustopisha kabisa hizi zilizidi kelele mlichofanya NEMC nichakupongezwa ila msitishwe na hawa wakina Msukuma ambao wao wanaangalia matumbo yao tu na kulinda biashara zao kazeni pitieni mpaka waseme basi sisi watu wamtaani bado tunawapongeza japo siasa imeingiaKatika tukio la hivi karibuni, Mkurugenzi wa Baraza la Uhifadhi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Samuel Gwamaka, amezungumza kuhusu operesheni ya msako inayoendelea dhidi ya wanaokiuka sheria za mazingira. Dkt. Gwamaka alisema kuwa wale watakaokamatwa katika msako huo watafuata taratibu za kisheria, na adhabu itatolewa kulingana na kosa lililofanywa. Alibainisha kuwa faini ya milioni tano itatozwa kwa wanaorudia kukiuka sheria hizo, na faini ya milioni mbili kwa wale ambao wanakiuka sheria kwa mara ya kwanza.
Kwa upande mwingine, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, alitoa maoni yake kuhusu suala la kelele katika mji huo. Alisema kuwa Dar es Salaam ni mji wa biashara, na ili kufanikisha uchumi wa mji huo, ni muhimu kuendelea na shughuli za biashara. Hata hivyo, aliwasihi wafanyabiashara kutafuta njia za kuepuka kelele zisizo za lazima. Alieleza kuwa bia bila kelele ni kama juice, ikisisitiza umuhimu wa kuzingatia mazingira ya biashara yanayofaa.
Kwa habari nyingine, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Amos Makalla, ametoa agizo la kufunguliwa kwa baa na kumbi za starehe ambazo zilikuwa zimefungiwa na NEMC kutokana na kelele zilizozidi viwango vilivyowekwa. Aidha, Makalla alipiga marufuku operesheni ya kamata kamata na uviziaji iliyokuwa ikifanywa na NEMC kwa kushirikiana na jeshi la polisi. Agizo hilo linalenga kuimarisha mazingira ya biashara na kuhakikisha kuwa hatua zinazochukuliwa zinafuata utaratibu na sheria.
Habari hizi zinaendelea kutoa mwelekeo kuhusu hatua zinazochukuliwa kudhibiti kelele na kusimamia sheria za mazingira katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania. Ni muhimu kuzingatia sheria na kanuni ili kuhakikisha kuwa mazingira ya biashara yanakuwa endelevu na yanayofaa kwa wote.
Tutakuendelea kuwaletea taarifa zaidi kuhusu suala hili na matukio mengine muhimu.
Umeongea vizuri sana lakini kwa kuwa baadhi ya watanzania hawajui wakitakacho hawatakuelewa...Hatuwezi kwenda na Chalamila ambaye anachoangalia ni kuwafurahisha wafanyabiashara na anayetaka kupindisha sheria kwa utashi wake binafsi ,kiongozi mzuri ni yule anayefuata sheria na sio kutumia maoni yake ,makelele yana kero na madhara makubwa lakini yeye hatambui hilo ,hatuwezi kuwa na jamii ya viongozi wanaokanyaga sheria